Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
Wewe zoba kwani zito yupo kwa magamba nyie jaribuni kwa lowassa muone cha mtemakuni
Wanasema Chama chenu kimekithiri kwa rushwa baada ya mbunge wenu kukamatwaWatanzania wanasemaje huko mitaani kuhusu nafasi ya kugombea urais kupitia Chadema?
mkuu zomba kama unadhani zitto atasapoti unachoongelea ni vizuri zaidi ukamshawishi aanzhishe chama chake.awe mwenyekiti then 2015 agombee uraisi.naona shida yako na wachache wengine ni zitto kuwa mwenyekiti wa chadema.unadhani ni zitto tu ndani ya cdm mwenye uwezo wa kuwa mwenyekiti?kama watu wengine wapenzi w a tundulissu au mnyika au slaa nk wangetaka kila wanaomshabikia kuwa mwenyekiti chadema ingeishia wapi?kama ni supporter wa zitto ni vizuri kusapoti nafasi yake aliyeko sasa na sio kuingilia maamuzi ya chama ya kupanga uingozi.unaona jinsi viongozi wengine wanavyozunguka nchi nzima kuimarisha chama na kukijenga lakini huoni umuhimu wao.unachotaka ni zitto awe mwenyekiti na uimarishaji wa chama wafanye wengine.una laana wewe.be blessed!Kuna kila njama zinazofanywa kwa makusudi kabisa, kupunguzia kasi Zitto Kabwe katika jukwaa la kisiasa. Njama hizo zinatokea kwa vigogo fulani wa CHADEMA, wanaomuona kuwa Zitto ni mwiba mkali.
Historia ya karibuni ilionesha kuwa Zitto alisakamwa sana alipotaka kugombea uenyekiti na baada ya kuzipangua hoja zote za kumuumiza kisiasa ndani ya CHADEMA akaambulia kupoozwa kwa kusukumiwa cheo cha unaibu Katibu Mkuu, cheo ambacho hakina manufaa yoyote kwa CHADEMA wala kwa Zitto. Ili kuponesha maumivu na kutibu majeraha ya kisiasa, Zitto akakikubali cheo hicho, lakini ukweli ni kwamba hakifanyii kazi yoyote.
Uthibitisho mwingine wa kumshusha kisiasa Zitto ni pale ambapo hajahudhuria vikao vya CHADEMA na Kikwete huko Ikulu, kuna mambo ya msingi ambayo Zitto amekuwa akitofautiana na viongozi wengine wa CHADEMA na hayo ndio yanamfanya ajaribiwe kushushwa hadi na kutokuwekwa kwenye maamuzi mengi ya chama na yeye hustukia tu maamuzi yameshafanywa. Na anapotoa misimamo yake huwa ina tofauti na ya chama chake, mifano ipo mingi.
Tunawaasa vigogo wa CHADEMA kuwa hata ndugu zetu wa Kigoma walipopiga kura za Ubunge zilikuwa ni kura za Zitto na si za CHADEMA, hilo walielewe. Kama ilivyo kwa kura za Shibuda, zilikuwa ni za Shibuda lakini si za CHADEMA hilo linajidhihiri kwa kuwa kura za Urais za Kigoma 90% zilikuwa za Kikwete hata kwenye jimbo la Zitto.
Aliposhindwa Mbowe uchaguzi mkuu wa 2005, 2010 akawekwa Slaa, tunataka Zitto agombee 2015 tumpe kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila yeye sahauni kura za wengi.
Kati ya vitu asivyopendezwa navyo Zitto ni namna ya chaguzi za wabunge wa upendeleo zinavyoendeshwa kimabavu ndani ya CHADEMA.
Tunawatahadharisha CHADEMA wasimjaribu Zitto, wataumia kisiasa.
mkuu zomba kama unadhani zitto atasapoti unachoongelea ni vizuri zaidi ukamshawishi aanzhishe chama chake.awe mwenyekiti then 2015 agombee uraisi.naona shida yako na wachache wengine ni zitto kuwa mwenyekiti wa chadema.unadhani ni zitto tu ndani ya cdm mwenye uwezo wa kuwa mwenyekiti?kama watu wengine wapenzi w a tundulissu au mnyika au slaa nk wangetaka kila wanaomshabikia kuwa mwenyekiti chadema ingeishia wapi?kama ni supporter wa zitto ni vizuri kusapoti nafasi yake aliyeko sasa na sio kuingilia maamuzi ya chama ya kupanga uingozi.unaona jinsi viongozi wengine wanavyozunguka nchi nzima kuimarisha chama na kukijenga lakini huoni umuhimu wao.unachotaka ni zitto awe mwenyekiti na uimarishaji wa chama wafanye wengine.una laana wewe.be blessed!
Kuna kila njama zinazofanywa kwa makusudi kabisa, kupunguzia kasi Zitto Kabwe katika jukwaa la kisiasa. Njama hizo zinatokea kwa vigogo fulani wa CHADEMA, wanaomuona kuwa Zitto ni mwiba mkali.
Historia ya karibuni ilionesha kuwa Zitto alisakamwa sana alipotaka kugombea uenyekiti na baada ya kuzipangua hoja zote za kumuumiza kisiasa ndani ya CHADEMA akaambulia kupoozwa kwa kusukumiwa cheo cha unaibu Katibu Mkuu, cheo ambacho hakina manufaa yoyote kwa CHADEMA wala kwa Zitto. Ili kuponesha maumivu na kutibu majeraha ya kisiasa, Zitto akakikubali cheo hicho, lakini ukweli ni kwamba hakifanyii kazi yoyote.
Uthibitisho mwingine wa kumshusha kisiasa Zitto ni pale ambapo hajahudhuria vikao vya CHADEMA na Kikwete huko Ikulu, kuna mambo ya msingi ambayo Zitto amekuwa akitofautiana na viongozi wengine wa CHADEMA na hayo ndio yanamfanya ajaribiwe kushushwa hadi na kutokuwekwa kwenye maamuzi mengi ya chama na yeye hustukia tu maamuzi yameshafanywa. Na anapotoa misimamo yake huwa ina tofauti na ya chama chake, mifano ipo mingi.
Tunawaasa vigogo wa CHADEMA kuwa hata ndugu zetu wa Kigoma walipopiga kura za Ubunge zilikuwa ni kura za Zitto na si za CHADEMA, hilo walielewe. Kama ilivyo kwa kura za Shibuda, zilikuwa ni za Shibuda lakini si za CHADEMA hilo linajidhihiri kwa kuwa kura za Urais za Kigoma 90% zilikuwa za Kikwete hata kwenye jimbo la Zitto.
Aliposhindwa Mbowe uchaguzi mkuu wa 2005, 2010 akawekwa Slaa, tunataka Zitto agombee 2015 tumpe kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila yeye sahauni kura za wengi.
Kati ya vitu asivyopendezwa navyo Zitto ni namna ya chaguzi za wabunge wa upendeleo zinavyoendeshwa kimabavu ndani ya CHADEMA.
Tunawatahadharisha CHADEMA wasimjaribu Zitto, wataumia kisiasa.
Mataahira mliojazana ccm ndio mmekifikisha chama hapo kilipo
Vilaza mmezidi kuifuatilia cdm......jengeni lichama lenu linakufa taratibu........mmekazana kuzima moto nyumba ya jirani wakati kwenu kunateketea!
We zomba pilipili usiyoila yakuwashia nini?
Mkuu Kilembwe, kumbe humjui Zoba! hapa anataka kuwagombanisha wana CHADEMA kwa fitina zake za udini. Hapo anataka kutumia uislam wa mh. Zito kwa manufaa yake. Zoba ni mtu wa kuogopwa sana. Tangu lini gamba kama yeye akajifanya msemaji wa mh.Zito?Wewe ni msemaji wa Zitto Kabwe? mbona mwenywe hajasema haya!
Wewe ndio walewale, huna jipya. Zitto for President 2015.
Ila kura za waislam wa Zanzibar zitasaidia kuwakomboa dhidi ya watanganyika au vipi?Bado u mdogo sana kuelewa kuwa kura za chama kimoja hazimpeleki mtu Ikulu kwenye siasa za vyama vingi.
Kwani yote yanayosemwa humu wanayasema wenyewe? Haya ni yangu mimi, si ya mwengine. Nna kila sababu za kuchambuwa wana siasa kadri ya uwezo wangu.
Kama ni umekula maharage ya gengeni ukavimbiwa siyo uanze kupumua hovyo kwenye hadhara ya watu, jipumulie mwenyewe ndani ya shuka.
Kama ni yako mwenyewe huna haki ya kuchanganya na wengine-hofyo kabisa!
Unaibu katibu mkuu anautumikia....unajua alikwenda washington kama nani?
Na kuhusu suala la kwenda Ikulu....unajua Zitto aliandika nini hapa jamii forums baada ya msiba wa REGIA,na mchango wake kwenye kikao.
Kuhusu Shibuda,Majimbo yote ya maswa walichagua chadema,including majimbo jirani ya meatu na bukombe.
Mwisho,kwa katiba yetu inavyojieleza Zitto hajaqualify kugombea urais 2015.....sasa unapoforce apewe nafasi ni kwa katiba gani au katiba mpya unayo uvunguni?
Dont waste time to discuss the unknown.
Unachekesha walionuna ujue.......unajipendekeza kwa Zitto unadhani na yeye atakupa posho kama Nape?.......wewe unatangaza kama nani??????....unaacha kufanya yanayokuhusu unafanya yasokuhusu .......hapo ulipo ya kwako yashakushinda afu unajibebesha ya Chadema utayaweza?......watu kama wewe ndio wanaochangia kudidimiza uchumi wa nchi manake kutwa kushabikia visivyo vya maendeleo!.......fanya kazi kwa maendeleo yako na ya nchi yako......umbea hautakusaidia chochote.