The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,111
- 117,863
Jibu swali acha porojo,unajua maana ya kusema "Walihakikishiwa haki yao?"Hujui kuwa nimekwisha jibu hilo swali hadi sasa?
Walichojadili na kuamua kurudi uwanjani, ndiyo ilikuwa HAKI yao
Hakuna aliyewalazimisha; walifanya uamzi wao wenyewe kwa hiari yao. Ni HAKI yao waliitumia.
Walichojadili ndio ilikua haki yao? Walijadili nini? Hivi unajua kua kitendo cha wao kutoka nje ya uwanja ni kosa? Na wataadhibiwa na FIFA? yani kuvunja sheria za Soka ndio haki yao? Kwahiyo uliposema Walihakikishiwa haki yao ulimaanisha walihakikishiwa na nani? Haki ipi hiyo? Hili swali ni lazima ulijibu,acha janja janja ili siku nyingine uache kukurupukia kwenye vitu usivyovijua,
Haki ipi iliwapa ushindi? Vipi kama wasingeshinda hiyo mechi?HAKI yao hiyo, ndiyo iliyowapa ushindi.
Ni kipi usichokielewa hapa!
Sikiliza wewe jamaa,Senegal waligomea penati,wakasusa wakatoka uwanjani,Sadio Mane captain wao akawashawishi wakarudi uwanjani,kisha penati waliyoigomea ikapigwa.