Msimamo wa Senegal huko AFCON ni kama wa CHADEMA

Msimamo wa Senegal huko AFCON ni kama wa CHADEMA

Mada imeletwa kisiasa; kwa mlinganisho wa msimamo wa CHADEMA kutoshiriki uchafu wa Oktoba; na msimamo wa Senegal kukataa kuendelea na mechi hadi walipohakikishiwa haki kwenye mchezo huo
Hata kama mada imeletwa kisiasa ila unachokiongea wewe wala hakikutokea kwenye hiyo mechi,ndio maana nikakuuliza Senegal walihakikishiwa haki gani kwenye hiyo mechi?
Senegal walitoka nje ya uwanja kugomea Penalty iliyotolewa na Refa,na waliporudi uwanjani,ile penalty ilipigwa kama ilivyo amuliwa na Refa mwanzo,sasa hapo walihakikishiwa haki ipi? Soka lina sheria zake zinazosimamiwa na FIFA,soka haliendeshwi kwa team kuhakikishiwa haki,sheria zipo tayari,nikuongeze swali lingine,hao Senegal walihakikishiwa haki na nani?
Si muhimu kwangu kuangalia mechi na kuweza kujadili maswala kama haya.
Kumbe ndio maana unaongea mambo ambayo wala hayakuwepo kwenye hiyo mechi,unaonekana hujui kitu kuhusu Soka,yani wewe ulivyoona tu yametajwa mambo ya siasa kwenye issue ya mpira,ukajikoki kubishana!

Acheni kutuharibia burudani yetu ya soka kwa kuchanganya na hayo mambo yenu,nyie endeleeni tu kubishana hizo siasa zenu kila kukicha.
 
Hata kama mada imeletwa kisiasa ila unachokiongea wewe wala hakikutokea kwenye hiyo mechi,ndio maana nikakuuliza Senegal walihakikishiwa haki gani kwenye hiyo mechi?
Senegal walitoka nje ya uwanja kugomea Penalty iliyotolewa na Refa,na waliporudi uwanjani,ile penalty ilipigwa kama ilivyo amuliwa na Refa mwanzo,sasa hapo walihakikishiwa haki ipi? Soka lina sheria zake zinazosimamiwa na FIFA,soka haliendeshwi kwa team kuhakikishiwa haki,sheria zipo tayari,nikuongeze swali lingine,hao Senegal walihakikishiwa haki na nani?

Kumbe ndio maana unaongea mambo ambayo wala hayakuwepo kwenye hiyo mechi,unaonekana hujui kitu kuhusu Soka,yani wewe ulivyoona tu yametajwa mambo ya siasa kwenye issue ya mpira,ukajikoki kubishana!

Acheni kutuharibia burudani yetu ya soka kwa kuchanganya na hayo mambo yenu,nyie endeleeni tu kubishana hizo siasa zenu kila kukicha.
Acha hasira, kitendo kile cha kugomea mechi ilitakiwa zitoke kadi za njano. Kuna yoyote alipewa kadi kwa tendo lile? Wakati penalt inapigwa, kipa alitoka kwenye mstari kabla mpigaji hajafikia mpira, refa aliamuru penalt irudiwe?
 
Acha hasira, kitendo kile cha kugomea mechi ilitakiwa zitoke kadi za njano. Kuna yoyote alipewa kadi kwa tendo lile? Wakati penalt inapigwa, kipa alitoka kwenye mstari kabla mpigaji hajafikia mpira, refa aliamuru penalt irudiwe?
Hasira ipi sasa?
Hii issue ya kutoa team hatua zimesha anza kuchukuliwa,na Kocha ndio ana anza kuona makucha ya FIFA,
Football ina kanuni zake,kufananisha yanayotokea uwanjani na mambo ya kisiasa ni vitu tofauti kabisa,

Ila kama hua mnaenjoy kubishana haya mambo ya siasa,endeleeni tu,mimi nilichangia kwenye angle ya Soka.
 
Hasira ipi sasa?
Hii issue ya kutoa team hatua zimesha anza kuchukuliwa,na Kocha ndio ana anza kuona makucha ya FIFA,
Football ina kanuni zake,kufananisha yanayotokea uwanjani na mambo ya kisiasa ni vitu tofauti kabisa,

Ila kama hua mnaenjoy kubishana haya mambo ya siasa,endeleeni tu,mimi nilichangia kwenye angle ya Soka.
Kuchukuliwa hatua hakuondoi ukweli kuwa Moroco ilikuwa inabebwa, na Senegal wasingeonyesha kupinga huo uhuni wangeburuzwa. Ww ndio inaonekana umekuja kubishana ndio maana unajistukia kwa kusema kubishana. Na kwa kukusaidia tu, hili ni jukwaa la siasa, hivyo usiteseke sana ukiona mjadala wa soka umejikita kwenye muktadha wa kisiasa.
 
Hata kama mada imeletwa kisiasa ila unachokiongea wewe wala hakikutokea kwenye hiyo mechi,ndio maana nikakuuliza Senegal walihakikishiwa haki gani kwenye hiyo mechi?
Senegal walitoka nje ya uwanja kugomea Penalty iliyotolewa na Refa,na waliporudi uwanjani,ile penalty ilipigwa kama ilivyo amuliwa na Refa mwanzo,sasa hapo walihakikishiwa haki ipi? Soka lina sheria zake zinazosimamiwa na FIFA,soka haliendeshwi kwa team kuhakikishiwa haki,sheria zipo tayari,nikuongeze swali lingine,hao Senegal walihakikishiwa haki na nani?

Kumbe ndio maana unaongea mambo ambayo wala hayakuwepo kwenye hiyo mechi,unaonekana hujui kitu kuhusu Soka,yani wewe ulivyoona tu yametajwa mambo ya siasa kwenye issue ya mpira,ukajikoki kubishana!

Acheni kutuharibia burudani yetu ya soka kwa kuchanganya na hayo mambo yenu,nyie endeleeni tu kubishana hizo siasa zenu kila kukicha.
Hawezi kurudi tena 😅
 
Kumbe ndio maana unaongea mambo ambayo wala hayakuwepo kwenye hiyo mechi,unaonekana hujui kitu kuhusu Soka,yani wewe ulivyoona tu yametajwa mambo ya siasa kwenye issue ya mpira,ukajikoki kubishana!

Acheni kutuharibia burudani yetu ya soka kwa kuchanganya na hayo mambo yenu,nyie endeleeni tu kubishana hizo siasa zenu kila kukicha.
Ukumbi huu wa JF ni ukumbi wa kujadili Siasa.
Mada imeletwa ikiwa ni ya siasa, iliyohusishwa na swala la soka kwa mlinganisho wa HAKI katika maamuzi.
Sasa wewe hapa huoni uhusiano wowote, na unajiona mjuaji kabisa!

Na hata katika bandiko lako nililojibu, umeilinganisha CHADEMA, kuwa isidai HAKI ya kuwepo na marekebisho ya sheria ili pawe na uchaguzi wa HAKI na HURU; ukataka CHADEMA wangeiga mfano wa Senegal....; na bado huamini kuwa hukujadili siasa!

Hii ni akili ya wapi?
Hata kama mada imeletwa kisiasa ila unachokiongea wewe wala hakikutokea kwenye hiyo mechi,ndio maana nikakuuliza Senegal walihakikishiwa haki gani kwenye hiyo mechi?
Senegal walitoka nje ya uwanja kugomea Penalty iliyotolewa na Refa,na waliporudi uwanjani,ile penalty ilipigwa kama ilivyo amuliwa na Refa mwanzo,sasa hapo walihakikishiwa haki ipi? Soka lina sheria zake zinazosimamiwa na FIFA,soka haliendeshwi kwa team kuhakikishiwa haki,sheria zipo tayari,nikuongeze swali lingine,hao Senegal walihakikishiwa haki na nani?
Wewe unajuwa walichojadili Senegal walipotoka nje ya uwanja, na hatimae kurudi uwanjani?
Unajuwa kilichowarudisha uwanjani ni kitu gani?

Sasa kwa nini uhitimishe hali hiyo hiyo iwe kwa CHADEMA; wakubali kushiriki uchaguzi ambao tayari matokeo yamekwishapangwa na tume isiyokuwa huru.
Huyo refa wa huo mchezo angeng'ang'aniza kutoa ushindi kwa Morrocco hata bila ya kuwa washindi, Senegal wangekubali hali hiyo, na HAKI ingekuwa imetendeka na mtu kama wewe ungefurahia ushindi wa Morocco, kama unavyofurahia uporaji wa Samia Suluhu Hassan hapa sasa hivi??
 
Ukumbi huu wa JF ni ukumbi wa kujadili Siasa.
Mada imeletwa ikiwa ni ya siasa, iliyohusishwa na swala la soka kwa mlinganisho wa HAKI katika maamuzi.
Sasa wewe hapa huoni uhusiano wowote, na unajiona mjuaji kabisa!
Mjuaji ni wewe ndio maana nikakuuliza walihakikishiwa haki gani? Naona hujajibu bado!
Na hata katika bandiko lako nililojibu, umeilinganisha CHADEMA, kuwa isidai HAKI ya kuwepo na marekebisho ya sheria ili pawe na uchaguzi wa HAKI na HURU; ukataka CHADEMA wangeiga mfano wa Senegal....; na bado huamini kuwa hukujadili siasa!
Hivi wewe jamaa ni mzima kichwani? Wapi mimi nimejadili kuhusu Chadema au siasa?
Hii ni akili ya wapi?

Wewe unajuwa walichojadili Senegal walipotoka nje ya uwanja, na hatimae kurudi uwanjani?
Unajuwa kilichowarudisha uwanjani ni kitu gani?
Wewe unayejua walichojadili ndio utuambie sasa,utuambie kilichowarudisha uwanjani ni kipi ikiwa penati waliyoigomea ilipigwa,
Sasa kwa nini uhitimishe hali hiyo hiyo iwe kwa CHADEMA; wakubali kushiriki uchaguzi ambao tayari matokeo yamekwishapangwa na tume isiyokuwa huru.
Huyo refa wa huo mchezo angeng'ang'aniza kutoa ushindi kwa Morrocco hata bila ya kuwa washindi, Senegal wangekubali hali hiyo, na HAKI ingekuwa imetendeka na mtu kama wewe ungefurahia ushindi wa Morocco, kama unavyofurahia uporaji wa Samia Suluhu Hassan hapa sasa hivi??
Wewe jamaa kumbe ni mjinga kiasi hiki? Unaniambia nafurahia sijui uporaji? Hizo stress zako za maisha usiniletee mimi aisee,mwanzoni nilikuheshimu ila naona unanilisha maneno,mimi nimeingia kuchangia hii mada coz nimeona upotoshaji wako wakitoto,eti walihakikishiwa haki! Haki gani sasa mbona huisemi?
Wewe endelea kubishana hayo mambo yenu ya vyama ila kwenye Soka huna ujualo.
 
Mjuaji ni wewe ndio maana nikakuuliza walihakikishiwa haki gani? Naona hujajibu bado!
Nifahamishe sababu iliyowarudisha uwanjani.
Hivi wewe jamaa ni mzima kichwani? Wapi mimi nimejadili kuhusu Chadema au siasa?
Hujui mada hii inahusu nini? Rudi nyuma kasome hapo juu ilivyoanzishwa. Kichwa cha mada kinasema hivi: "Msimamo wa Senegal huko AFCON ni kama wa CHADEMA"; bado tu huelewi kitu gani?
Wewe unayejua walichojadili ndio utuambie sasa,utuambie kilichowarudisha uwanjani ni kipi ikiwa penati waliyoigomea ilipigwa,
Kuna sababu iliyowarudisha uwanjani; haiwezekani wawe wamerudi tu bila ya sababu. Ukiijuwa hiyo sababu, hiyo ndiyo HAKI waliyotumia. Wewe, hata kama hukuwajadili CHADEMA, lakini kwa kuwa mada yenyewe inawahusu, ulitaka wafanye kama walivyofanya Senegal, bila ya kujuwa Senegal kilichowarudisha uwanjani.
Kutokana na majibu yako hapa, sitegemei kuwa utaelewa ninachokueleza.Wewe kuniheshimu na hayo m
Wewe jamaa kumbe ni mjinga kiasi hiki? Unaniambia nafurahia sijui uporaji? Hizo stress zako za maisha usiniletee mimi aisee,mwanzoni nilikuheshimu ila naona unanilisha maneno,mimi nimeingia kuchangia hii mada coz nimeona upotoshaji wako wakitoto,eti walihakikishiwa haki! Haki gani sasa mbona huisemi?
Wewe endelea kubishana hayo mambo yenu ya vyama ila kwenye Soka huna ujualo.
engine yote yasikupe shida hata kidogo; kwa sababu hayanisumbuwi kabisa.
Nilichojibu ni kuhusisha upumbavu katika maswala muhimu. CHADEMA haiwezi kushiriki kwenye maswala ya kilaghai.
Nimekujibu nilivyokujibu kwa kujiweka upande wa kilaghai; iwe unashiriki au hushiriki maswala ya siasa haijalishi.

Kama wewe unaona HAKI ni jambo la kuchezea tu, usitegemee kinga ya kuwa hujadili maswala ya siasa.
 
Hasira ipi sasa?
Hii issue ya kutoa team hatua zimesha anza kuchukuliwa,na Kocha ndio ana anza kuona makucha ya FIFA,
Football ina kanuni zake,kufananisha yanayotokea uwanjani na mambo ya kisiasa ni vitu tofauti kabisa,

Ila kama hua mnaenjoy kubishana haya mambo ya siasa,endeleeni tu,mimi nilichangia kwenye angle ya Soka.
Ngoja nikwambie jambo, na kama unazo akili za kutosha utaelewa.

Umevamia sehemu isiyokuhusu.
Hili siyo jukwaa la michezo, hili ni jukwaa la siasa, linajadili mambo ya siasa. Hayo mambo ya michezo yanapoingizwa humu yanaingia kwa lingo wa kisiasa; ndiyo maana kichwa cha mada kimewekwa kama kilivyokaa hapo juu.

Ulipoingia kuchangia, hukuiona CHADEMA imeandikwa kwenye hicho kichwa cha mada; ni lini ulisikia CHADEMA ni mafundi wa soka?

Unachofanya hapa ni kutaka kujinasua tu katika utetezi wa kunyimwa HAKI. Hili ndilo lililokupa msukumo wa kujihusisha na mjadala huu. Sasa unaruka kimanga kuwa wewe hujadili siasa!
 
Nifahamishe sababu iliyowarudisha uwanjani.
Wewe si ndio umesema walihakikishiwa haki yao? Sasa itaje hiyo haki acha kurukaruka kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,
Hujui mada hii inahusu nini? Rudi nyuma kasome hapo juu ilivyoanzishwa. Kichwa cha mada kinasema hivi: "Msimamo wa Senegal huko AFCON ni kama wa CHADEMA"; bado tu huelewi kitu gani?
Hujui kitu kuhusu soka,endelea tu kushinda humu na kubishana mambo ya siasa,unajiaibisha,eti Senegal walihakikishiwa haki yao! Nilikuuliza walihakimishiwa na nani? Haki ipi? Najua huna jibu,ulikurupuka tu kupayuka hapa JF,
Kuna sababu iliyowarudisha uwanjani; haiwezekani wawe wamerudi tu bila ya sababu. Ukiijuwa hiyo sababu, hiyo ndiyo HAKI waliyotumia.
Kwahiyo wewe huijui hiyo sababu,sasa kilichokufanya kusema walihakikishiwa haki yao ni kipi? Au ulikua unatabiri? Waligomea penati na walivyorudi penalty ilipigwa,nothing change,
Wewe, hata kama hukuwajadili CHADEMA, lakini kwa kuwa mada yenyewe inawahusu, ulitaka wafanye kama walivyofanya Senegal, bila ya kujuwa Senegal kilichowarudisha uwanjani.
Senegal walirudi uwanjani kwa ushawishi wa Captain wao Sadio Mane,na wacjezaji wamesha omba radhi kwa kitendo hicho,hata Kocha wao kisha omba radhi kwa kitendo hicho,na FIFA inafikiria kuwapa adhabu kwa kitendo cha kutoka uwanjani,
Kutokana na majibu yako hapa, sitegemei kuwa utaelewa ninachokueleza.Wewe kuniheshimu na hayo m
Wewe huna chakunielewesha mimi ikiwa wewe mwenyewe huna unalolijua kuhusu soka,
engine yote yasikupe shida hata kidogo; kwa sababu hayanisumbuwi kabisa.
Nilichojibu ni kuhusisha upumbavu katika maswala muhimu.
Upumbavu unao wewe kufananisha Soka na issue za Siasa,
Siku nyingine uache kulurupuka na kuongea vitu vya ajabu na ambavyo havipo kabisa,

Eti Senegal walihakikishiwa HAKI yao ndio wakarudi uwanjani,hiki ni kichekesha cha kufungulia mwaka aisee.
 
Wewe si ndio umesema walihakikishiwa haki yao? Sasa itaje hiyo haki acha kurukaruka kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,
By implicit, walipojadili baada ya kutoka uwanjani, waliona options zao ni zipi, wakafanya uamz kurudi uwanjani

i. Hiyo ni HAKI; hakuna aliyewalazimisha.
 
Ngoja nikwambie jambo, na kama unazo akili za kutosha utaelewa.

Umevamia sehemu isiyokuhusu.
Hili siyo jukwaa la michezo, hili ni jukwaa la siasa, linajadili mambo ya siasa. Hayo mambo ya michezo yanapoingizwa humu yanaingia kwa lingo wa kisiasa; ndiyo maana kichwa cha mada kimewekwa kama kilivyokaa hapo juu.

Ulipoingia kuchangia, hukuiona CHADEMA imeandikwa kwenye hicho kichwa cha mada; ni lini ulisikia CHADEMA ni mafundi wa soka?

Unachofanya hapa ni kutaka kujinasua tu katika utetezi wa kunyimwa HAKI. Hili ndilo lililokupa msukumo wa kujihusisha na mjadala huu. Sasa unaruka kimanga kuwa wewe hujadili siasa!
Basi hapa mwenyewe unajiona bonge la mchambuzi sio? Yani umeandika kitu cha maana sio? Wewe ulivyoona imetajwa fainali ya AFCON na kutajwa National team za Morocco na Senegal hukujua kua hiyo ni issue ya Sport?

Halafu wewe ni nani hasa unipangie niingie jukwaa gani na nisiingie jukwaa gani? Mimi nikiingia JF hua naingia kwenye TRENDING sichagui jukwaa,

Wewe jamaa una tatizo kubwa sana aisee,Eti mimi nataka kujinasua katika utetezi wa kunyimwa haki,haki ipi? Wapi? Hebu jaribu kua na aibu japo kidogo tu,unakurupuka sana aisee.
 
Hujui kitu kuhusu soka,endelea tu kushinda humu na kubishana mambo ya siasa,unajiaibisha,eti Senegal walihakikishiwa haki yao! Nilikuuliza walihakimishiwa na nani? Haki ipi? Najua huna jibu,ulikurupuka tu kupayuka hapa JF,
Ni wapi nimedai "naijuwa soka", unaweza kunionyesha?
Mimi nimo kwenye Jukwaa la Siasa, sijaenda huko kwenye soka, hii HAKI nayo unataka kunipokonya?

Kwani umeingia humu ukijuwa hili ni Jukwaa la Soka?
Siku nyingine uache kulurupuka na kuongea vitu vya ajabu na ambavyo havipo kabisa,
Unataka nirudie mara ngapi ndiyo uelewe.
Kiherehere kilichokuleta kwenye Jukwaa la Siasa ni kipi iwapo huongelei maswala ya siasa?
 
By implicit, walipojadili baada ya kutoka uwanjani, waliona options zao ni zipi, wakafanya uamz kurudi uwanjani

i. Hiyo ni HAKI; hakuna aliyewalazimisha.
You can't run from yourself,naona umejishtukia kua ulikurupuka kua eti walihakikishiwa HAKI yao ndio wakarudi uwanjani,umeanza kujikataa naona,

Haya ziseme hizo option zao ni zipi zilizowafanya kuamua kurudi uwanjani,Penati ilipigwa au haikupigwa? Unajua ni kwanini wameomba radhi kwa kitendo cha kutoka uwanjani? Unajua ni kwanini FIFA inataka kuwaadhibu kwa kitendo cha kutoka uwanjani?
 
Basi hapa mwenyewe unajiona bonge la mchambuzi sio? Yani umeandika kitu cha maana sio? Wewe ulivyoona imetajwa fainali ya AFCON na kutajwa National team za Morocco na Senegal hukujua kua hiyo ni issue ya Sport?
mimi sijayataja yote hayo, ni wewe unayeyaibua kwa sababu huna lolote la maana la kuchangia kwenye mada.
Halafu wewe ni nani hasa unipangie niingie jukwaa gani na nisiingie jukwaa gani? Mimi nikiingia JF hua naingia kwenye TRENDING sichagui jukwaa,
sijakupangia, ni wewe mwenyewe umeamua kujibainisha, au hata hili hujui? Ina maana unaandika vitu usivyokusudia mtu akisoma aelewe unakusudia kitu gani?
Wewe jamaa una tatizo kubwa sana aisee,Eti mimi nataka kujinasua katika utetezi wa kunyimwa haki,haki ipi? Wapi? Hebu jaribu kua na aibu japo kidogo tu,unakurupuka sana aisee
Nikukumbushe tena mara nyingine, soma kichwa cha mada inayojadiliwa inasemaje. Au unazo changamoto za uelewa na kuunganisha mambo?
 
Ni wapi nimedai "naijuwa soka", unaweza kunionyesha?
Mimi nimo kwenye Jukwaa la Siasa, sijaenda huko kwenye soka, hii HAKI nayo unataka kunipokonya?

Kwani umeingia humu ukijuwa hili ni Jukwaa la Soka?

Unataka nirudie mara ngapi ndiyo uelewe.
Kiherehere kilichokuleta kwenye Jukwaa la Siasa ni kipi iwapo huongelei maswala ya siasa?
When you are lost,speed is useless,acha kupotosha humu kwa kutolea mifano kwenye mechi ya AFCON,mfano wako wala hauna mantiki na kilichotokea uwanjani,kiherehere unacho wewe mpotoshaji kujifanya unajua mpaka walichokijadili wachezaji kwenye dressing room,punguza ujuaji.
 
mimi sijayataja yote hayo, ni wewe unayeyaibua kwa sababu huna lolote la maana la kuchangia kwenye mada.

sijakupangia, ni wewe mwenyewe umeamua kujibainisha, au hata hili hujui? Ina maana unaandika vitu usivyokusudia mtu akisoma aelewe unakusudia kitu gani?

Nikukumbushe tena mara nyingine, soma kichwa cha mada inayojadiliwa inasemaje. Au unazo changamoto za uelewa na kuunganisha mambo?
Wewe sema umepuyanga,punguza ujuaji,hapo unajiona bonge la GT mwenyewe,kama sio Jukwaa la sport ndio upotoshe issue ya sport kwa kitu ambacho hakikutokea? Jitafakari aisee,pia acha kujiaminisha kua una uelewa mkubwa kuliko wengine.
 
You can't run from yourse
This language must be tough for you. There's no such thing as "running from yourself"! You're not going to be creating meanings of words in a language yo have no clue about!
 
When you are lost,speed is useless,acha kupotosha humu kwa kutolea mifano kwenye mechi ya AFCON,mfano wako wala hauna mantiki na kilichotokea uwanjani,kiherehere unacho wewe mpotoshaji kujifanya unajua mpaka walichokijadili wachezaji kwenye dressing room,punguza ujuaji.
Sasa unapuyanga tu mradi uonyeshe upo. Niliandika wapi kujuwa kilichojadiliwa kwenye dressing room ya Senegal?
 
Back
Top Bottom