TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari Jf!
Kuna jambo binafsi naamini wanachadema wanapaswa kulitathimini sababu haiwezekani kila anaye hama chama kwenda CCM muwe mnasema wamenunuliwa.
Ebu Mbowe na wenzake wajitathmini maana tunapoelekea uchaguzi mkuu naamini chama cha Chadema kabla hata ya uchaguzi mkuu kitakuwa sio chama cha siasa tena bali ni Saccos ya vikoba.
Binafsi naona Mbowe amekuwa dikteta zaidi ya Nduli Idd Amini Dada kwa kutaka kiti chake kisikaliwe na mtu mwingine ili kuleta watu wenye mawazo mapya ndani ya chama hilo nalo ni kosa ,alitakiwa kukubali kubadilishana kijiti.
Sasa hivi Chadema naona kumejaa kundi la wahuni wa mtaani watu wenye waeledi wote naona wamejaa upande ule wa pili yaani CCM.
Napata mashaka sana nikikuta mtu msomi bado anang'ang'ana na Chadema hapo ndipo wakati najiuliza usomi wa mtu huyo upo wapi?
Ila kuna mtu alishawai sema kwamba Chadema ni chama cha mtu binafsi ,kwa hiyo inaendeshwa kama Vicoba Saccos pale watu wanapata msosi wao wa kila siku ila sio chama cha siasa ila kimejificha kwny kivuli cha siasa.
Je ili swala wanachadema wanalizungumzia vipi?
Kuna jambo binafsi naamini wanachadema wanapaswa kulitathimini sababu haiwezekani kila anaye hama chama kwenda CCM muwe mnasema wamenunuliwa.
Ebu Mbowe na wenzake wajitathmini maana tunapoelekea uchaguzi mkuu naamini chama cha Chadema kabla hata ya uchaguzi mkuu kitakuwa sio chama cha siasa tena bali ni Saccos ya vikoba.
Binafsi naona Mbowe amekuwa dikteta zaidi ya Nduli Idd Amini Dada kwa kutaka kiti chake kisikaliwe na mtu mwingine ili kuleta watu wenye mawazo mapya ndani ya chama hilo nalo ni kosa ,alitakiwa kukubali kubadilishana kijiti.
Sasa hivi Chadema naona kumejaa kundi la wahuni wa mtaani watu wenye waeledi wote naona wamejaa upande ule wa pili yaani CCM.
Napata mashaka sana nikikuta mtu msomi bado anang'ang'ana na Chadema hapo ndipo wakati najiuliza usomi wa mtu huyo upo wapi?
Ila kuna mtu alishawai sema kwamba Chadema ni chama cha mtu binafsi ,kwa hiyo inaendeshwa kama Vicoba Saccos pale watu wanapata msosi wao wa kila siku ila sio chama cha siasa ila kimejificha kwny kivuli cha siasa.
Je ili swala wanachadema wanalizungumzia vipi?