Kwa hali inayo endelea hivi sasa ya kupoteza wanachama kila kona ya nchi wakati tunaelekea ktk maandalizi ya Uchaguzi mkuu ni busara Mbowe akijiuzulu haraka ili kulinda heshima ya chadema, vinginevyo chama kitamwifia na aibu itakuwa kubwa sana kwake.
Uhamaji wa wanachama unasababishwa Na uongozi mbovu wa mwenyekiti. Ni ushauri tu
Uhamaji wa wanachama unasababishwa Na uongozi mbovu wa mwenyekiti. Ni ushauri tu