Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 1,706
- 8,676
Hao wakulima wenyewe wanalo jukwaa lao la wakulima na viongozi wao. Wewe umefanya CSR tu kama mimi hapa. Na huu ni upendo tu. Na kwa kutambua kuwa, mimi ba wewe tuna ukomo wa kukutana mahali hapa, ndiyo maana ili kuendeleza huduma ikaja hoja ya call center, wewe sasa wape wakulima wooote wa huko uliko ili nao siku ingine, moja kwa moja wajue kuna call center 😄, wenyewe wanaita eti uendelevu au sustainabilityTofauti ya mimi ni kwamba overtime yangu kama mlima nyanya ingebidi niwe kwenye magroup ya wakulima wenzangu ila nikaona huyu mama anayejitolea hata zaidi ya saa za kazi kujibu hoja nimsukumizie hizi angalau wakati anakunywa chai aweze kuwasukumizia hao wenzake na wao wafanye mambo..., sasa ukinipa tena Mawasiliano ya Call Centre ambayo ningeweza kuyapata google huoni hata kwenye group la wakulima wenzangu itabidi nijiuzulu ili nifanye kazi ambayo haina kipato na inahitaji pesa (si nitala njaa) ? Hapa tu nimeweka tenga chini na kutumia pesa yangu ya chakula cha mchana kununua bundle (ambalo halishikiki)