Kwa wewe kuniambia tu nikasome inaonyesha ni vipi hayo matarajio (theories on paper) haziendi sambamba na na kinachoendelea ground...; Kumbuka mzee wa keshokutwa ni kijana wa leo kwahio ili kumsaidia mzee wa keshokutwa ni kuhakikisha kijana wa leo anapata ujira wa kutosha na kuweza kujiwekea ili aweze kulia (kula sio crying) kivulini...
Hivyo Case in point mfano sasa hivi vijana wengi ambapo dunia ni kijiji wanajitafutia mkate online kwa kurusha kazi zao (podcasts n.k.) ila ndio hivyo bundle halishikiki na kuna kipindi TCRA wanaleta sheria za online Radio gharama ya kupiga soga online inakuwa kama vile mtu anaanzisha mega billion project...
Tunasema tunataka kukuza ajira kwa vijana, tumepata mikopo kwa ajili ya kukuza Teknolojia. Tunasema Teknolojia ndio kila kitu kwa Dunia ya sasa, tunashauri vijana wajifunze na kuwekeza kwenye teknolojia, ni Vema na Haki, yet tunasababisha kitendea kazi muhimu (bundle) kisishikike; hapo tunajenga...
www.jamiiforums.com
Naam na mzee huyu ili kesho aweze kupata hata pesa ya panadol inabidi hata leo aweze kujiwekea akiba (ukingatia wengi kitaa ni wabangaizaji na mtaji wao ni nguvu zao)
Maadui wetu hawajawahi Kubadilika Umasikini, Ujinga na Maradhi..., Vilevile Mahitahi Muhimu ya Binadamu hayabadilika (Chakula Malazi na Mavazi); Karne ya sasa ambayo sio kila mtu anaweza kuchukua Jembe na kwenda kulima mihogo na kupata kitoweo Pesa inahitajika. Hii ndio itakupatia mahitaji...
www.jamiiforums.com
Ni hayo tu nadhani ifike wakati tu walk the walk kwa kuanzia tulipo na kufanya tunachoweza