Msigwa mbaroni Iringa, Apandishwa Kizimbani

Msigwa mbaroni Iringa, Apandishwa Kizimbani

Sisi kwetu tumeamua kiongozi yeyote wa upinzani akianzisha vurugu tunampiga yeye kwanza then police ndio waje wamwokowe ndio maana Tundu Lissu hata siku Moja hataweza kufanya fujo Singida!

Iringa mna mwachia huyo Mchungaji afanye afanyavyo kuweni Kama Arusha maana Tundu Lissu kilichomkuta police hataweza sahau hadi anaingia kaburini ndio maana Mbowe alikimbia na boda boda Kama chopa!
 
Ina maana wengine ni wahamiaji haramu?

Ukiwa mpinzani nchi hii huna haki,
mkuu nchi hii ili tubadilishe mambo, tunahitaji kuwa na utawala mpya nje ya maccm, ccm wanaendesha nchi kwa mfumo wa chama kimoja ilhali ni nchi ya vyama vingi!
 
Sisi kwetu tumeamua kiongozi yeyote wa upinzani akianzisha vurugu tunampiga yeye kwanza then police ndio waje wamwokowe ndio maana Tundu Lissu hata siku Moja hataweza kufanya fujo Singida!

Iringa mna mwachia huyo Mchungaji afanye afanyavyo kuweni Kama Arusha maana Tundu Lissu kilichomkuta police hataweza sahau hadi anaingia kaburini ndio maana Mbowe alikimbia na boda boda Kama chopa!
haaa haaa, je akianzisha hizo vurugu kiongozi wa ccm mnafanyaje?
 
Katika kuleta maendeleo chanya; Kwanza usiogope kupingwa ama kushindwa na pili usiogope kifo!
 
Viongozi wa chadema bila kufanya vurugu za kitoto huwa wanakosa raha sana.

Wananikumbusha wanawake wa kabila moja ra kaskazini wao bira kupigwa huwa wanaona hawapendwi

Usiwe kama mjinga unayekula mavi ya Mwigulu
 
Hamkosagi neno,labda aje mungu na malaika zake ndio mtaacha kuquestion
 
Ushabiki ndo umeshika hatamu hapa kuliko kuzungumzia uhalisia wa mambo.
Kila la kheri watanzania
 
Viongozi wa chadema bila kufanya vurugu za kitoto huwa wanakosa raha sana.

Wananikumbusha wanawake wa kabila moja ra kaskazini wao bira kupigwa huwa wanaona hawapendwi
Lukosi daima unapost mavi,mavi,mavi,naam zama za ujinga bado, unaishi dark ages!
 
Kwako wewe ndio muheshimiwa,kwetu cc ni mzarauliwa tu.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk

Kumbe na wewe ni mbulumundu :A S 13::A S 13:? I didn't know, I intended for mbulumundu.Thanks for the info.
 
viongozi wa chadema bila kufanya vurugu za kitoto huwa wanakosa raha sana.

Wananikumbusha wanawake wa kabila moja ra kaskazini wao bira kupigwa huwa wanaona hawapendwi
hivi unafikiri kula rambirambi mchezo ukichaa sio lazima uokote makopo una laana matulubai wewe
 
Bro.Chris Lukosi Nasubiri uwapeleke hawa watu wanaokutukana mahakamani kama ulivyohaidi katika moja ya post siku si nyingi zilizopita.

au sivyo....utaniaminisha kwa kinachosemwa humu ndani...


Pia nasindwa kuelewa mbona post zote zinazomshutum kuiba pesa ya rambirambi anaziruka, badala yake anajibu zile za kina MSALANI et al
 
Last edited by a moderator:
Kurukaruka kwa maharage jikoni ndiko kuiva kwake,tunajua nahata nyie mnajua kwamba mnamalizia mwaka huu uliobaki ndio maana mnahangaika kwa kila mbinu.Ila
msije mkasahau tu hata mnayotufanyia nanyie muwe wavumilivu
 
Naona mzee wa rambi rambi anajibu bila kutumia akili, anakurupika tu...na mwingine kichwa chake kimejaa maboso.
 
Back
Top Bottom