Msigwa mbaroni Iringa, Apandishwa Kizimbani

Msigwa mbaroni Iringa, Apandishwa Kizimbani

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
MSIGWA MBARONI: Polisi Iringa inamshikilia Mbunge wa Iringa Mjini, Mch. Peter Msigwa, ahusishwa na vurugu katika kampeni za udiwani Kata ya Nduli jioni hii.source mwananchi

=========
UPDATE

Mch. Peter Msigwa (MP) afikishwa mahakamani mjini Iringa hivi punde, alikamatwa jana akihusishwa na uchochezi kampeni za udiwani kata ya Nduli.

Tutaendelea kuwajuza kuhusu dhamana yake.
UPDATE

Mahakama Iringa yamuachia kwa dhamana mch. Peter Msigwa baada ya hivi punde kusomewa na kukana shitaka la kujeruhi, kesi kutajwa Machi 10, 2014.
source: Mwananchi
 
hayo tunayategemea sana kuelekea siku ya uchaguzi .
 
hata mandela alifungwa na kupata mateso makali
hao poliCCM wanfanya kazi kama mbwa akiambiwa kimbia kule anakimbia bila kujiuliza ni kwa faida gani
maisha yao ni ya dhiki wanaishi vijumba vya mabati wanategemea rushwa ili wasonge mbele
nadhani pia elimu yo wengi ni form 4 failures na 6 na wale wa std 7 wa zamani
bado tuna safari ndefu
 
Viongozi wa CHADEMA bila kufanya vurugu za kitoto huwa wanakosa raha sana.

Wananikumbusha wanawake wa kabila moja ra kaskazini wao bira kupigwa huwa wanaona hawapendwi
 
hata mandela alifungwa na kupata mateso makali
hao poliCCM wanfanya kazi kama mbwa akiambiwa kimbia kule anakimbia bila kujiuliza ni kwa faida gani
maisha yao ni ya dhiki wanaishi vijumba vya mabati wanategemea rushwa ili wasonge mbele
nadhani pia elimu yo wengi ni form 4 failures na 6 na wale wa std 7 wa zamani
bado tuna safari ndefu

Mandela hakuwa mpuuzi kama Msigwa.
 
hata mandela alifungwa na kupata mateso makali
hao poliCCM wanfanya kazi kama mbwa akiambiwa kimbia kule anakimbia bila kujiuliza ni kwa faida gani
maisha yao ni ya dhiki wanaishi vijumba vya mabati wanategemea rushwa ili wasonge mbele
nadhani pia elimu yo wengi ni form 4 failures na 6 na wale wa std 7 wa zamani
bado tuna safari ndefu
Mandela hakuwa mpuuzi kama hawa wapenda attention

Juzi kubwa jinga lingine lilikuwa linazidisha muda ili likamatwe...

Mnatakiwa mfanye mambo ya kimaendeleo ili wananchi wawachague sio kufanya vurugu kama walevi wa viroba
 
Viongozi wa chadema bila kufanya vurugu za kitoto huwa wanakosa raha sana.

Wananikumbusha wanawake wa kabila moja ra kaskazini wao bira kupigwa huwa wanaona hawapendwi

kuna mtu anatumia.ID yako au
ndo unaamka?
 
Nachukia siasa zisizo na ustaarabu wala staha! Udiwani unasababisha hayo, ubunge na urais itakuwaje?
 
Mandela hakuwa mpuuzi kama hawa wapenda attention

Juzi kubwa jinga lingine lilikuwa linazidisha muda ili likamatwe...

Mnatakiwa mfanye mambo ya kimaendeleo ili wananchi wawachague sio kufanya vurugu kama walevi wa viroba

Sasa hakuna jitu lilikuwa bishi na bogus kama mandela
 
Back
Top Bottom