Msigwa mbaroni Iringa, Apandishwa Kizimbani

Msigwa mbaroni Iringa, Apandishwa Kizimbani

hata mandela alifungwa na kupata mateso makali
hao poliCCM wanfanya kazi kama mbwa akiambiwa kimbia kule anakimbia bila kujiuliza ni kwa faida gani
maisha yao ni ya dhiki wanaishi vijumba vya mabati wanategemea rushwa ili wasonge mbele
nadhani pia elimu yo wengi ni form 4 failures na 6 na wale wa std 7 wa zamani
bado tuna safari ndefu

Msigwa afananishwe na Mandela! Labda co Nelson Mandela. Hao watu maarufu kama hao walipata umaarufu kipindi kile watu wakiwa wajinga.
 
Mamdenyi kumbe na wewe gambasogwa ha ha ha
 
Last edited by a moderator:
Mamdenyi kumbe na wewe gambasogwa ha ha ha
 
Last edited by a moderator:
Viongozi wa chadema bila kufanya vurugu za kitoto huwa wanakosa raha sana.

Wananikumbusha wanawake wa kabila moja ra kaskazini wao bira kupigwa huwa wanaona hawapendwi

Una uhakika na habari ya hao wanawake kafir mjaa laana weye?
 
Mandela hakuwa mpuuzi kama hawa wapenda attention

Juzi kubwa jinga lingine lilikuwa linazidisha muda ili likamatwe...

Mnatakiwa mfanye mambo ya kimaendeleo ili wananchi wawachague sio kufanya vurugu kama walevi wa viroba

Wapuuzi. kuliko mtu anaechekacheka tu!! we mla rambirambi vipi?
 
Hv mnashangaa mpinzani kuqekwa ndani na serikali iliyopo madarakani? Mbona kawaida tu, au unatoa taarifa?
 
Mandela hakuwa mpuuzi kama hawa wapenda attention

Juzi kubwa jinga lingine lilikuwa linazidisha muda ili likamatwe...

Mnatakiwa mfanye mambo ya kimaendeleo ili wananchi wawachague sio kufanya vurugu kama walevi wa viroba

Wewe Kam Huwez Siasa Acha Kuliko Kutukana Haikusaidii,unafaidi Nini? Undadhana Ukitukana Unakuwa Umeongeza Kitu Ama Kupunguza? Acha Dhambi Hzo.
 
Mandela hakuwa mpuuzi kama hawa wapenda attention

Juzi kubwa jinga lingine lilikuwa linazidisha muda ili likamatwe...

Mnatakiwa mfanye mambo ya kimaendeleo ili wananchi wawachague sio kufanya vurugu kama walevi wa viroba

Mkuu vipi lambilambi ulishalipa mjane hali yake bi mbaya sana

Wanafamilia tunaomba utupe chetu.
 
Viongozi wa chadema bila kufanya vurugu za kitoto huwa wanakosa raha sana.

Wananikumbusha wanawake wa kabila moja ra kaskazini wao bira kupigwa huwa wanaona hawapendwi

Siufurahi chadema wafanye vurugu .wafee watu mchango wa rambirambi uchangishwa .tupige dil
 
Inaonekana IGP Mpya ameagizwa huko makao makuu kuwa anyanyase wapinzani, upinzani unapandishwa chati kwa upumbavu wa polis ccm!
 
Back
Top Bottom