Msigwa mbaroni Iringa, Apandishwa Kizimbani

Msigwa mbaroni Iringa, Apandishwa Kizimbani

Viongozi wa chadema bila kufanya vurugu za kitoto huwa wanakosa raha sana.

Wananikumbusha wanawake wa kabila moja ra kaskazini wao bira kupigwa huwa wanaona hawapendwi

Wew utakuwa umepotea ndo maana hata unashindwa kutofautisha La na Ra watakuwa ni hao wa kusini kwenu.
 
Hahahhahahhahahahaaaaaaaaaaaaa!

Mkuu umesababisha nifunge ofisi nikalale , umeishanikamilishia siku yangu bro....

naona msukule upo kazini!!! ukiona giza totoro ujue nuru ipo karibu!!!! hivi vitendo vya kubambika kesi havijaanza leo lakini cdm inasonga mbele tu na ushindi upo karibu!! Mungu ibariki CDM ili kupitia kwayo waja wako wakombolewe,AMEN!
 
Nikija kuwa na hela kama bill gates nitaamuru madokta wamkamate Chris Lukosi kisha wapime ubongo wake kuona ni kiasi gani cha ujinga alichonacho maaana.....hata simuelewi
Hata kwa avatar yako inaonyesha unavuta ganja toka utotoni, hiyo bulungutu utapata wapi zaidi ya kujipa high kama Jah People.
 
Nilijua kakamatwa kwa zile tabia zake za wizi wa kuwaibia wajane pesa za pole wapewazo na kupitia mikononi mwake.
 
hata mandela alifungwa na kupata mateso makali
hao poliCCM wanfanya kazi kama mbwa akiambiwa kimbia kule anakimbia bila kujiuliza ni kwa faida gani
maisha yao ni ya dhiki wanaishi vijumba vya mabati wanategemea rushwa ili wasonge mbele
nadhani pia elimu yo wengi ni form 4 failures na 6 na wale wa std 7 wa zamani
bado tuna safari ndefu

Unalinganisha Keki na Kinyesi !!!!??
 
Nilijua kakamatwa kwa zile tabia zake za wizi wa kuwaibia wajane pesa za pole wapewazo na kupitia mikononi mwake.

Aliyekamatwa ni Mh. Msigwa sio Chris Lukosi, utakuwa umechanganya hapo.
 
Last edited by a moderator:
Khaa!!! ''Nilidhani Msigwa ni mchungaji wa kweli, kumbe muhuni wa kawaida tu" - Samwel 6
 
Msigwa anahis ataonekana mpambanaji wa kweli kwa kwenda sero kila cku! Ni upuuzi tu alionao huyu mbunge.....
 
Mambo mengine ya kitoto. Wanashindwa kujaribu kuwaza kama watu wazima.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Back
Top Bottom