Mbunge wa ilula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 211
- 18
Ifike mahali polisi watende haki na si kufanya kazi kama na wao ni greenguard mbona yule kijana wa chadema aliyevunjwa taya njombe watuhumiwa hawajakamatwa
Mch. Peter Msigwa (MP) afikishwa mahakamani mjini Iringa hivi punde, alikamatwa jana akihusishwa na uchochezi kampeni za udiwani kata ya Nduli.tutaendelea kuwajuza kuhusu dhamana yake.source mwananchi
Hata jana Arusha tulisikia polisi wanamtafutia Mh Lema zwengwe ili wamkamate asiwepo uraiani siku ya kupiga kura Sombetini. Ila polisi wanasahau kwamba Arusha kuna Lema zaidi ya 10000MSIGWA MBARONI: Polisi Iringa inamshikilia Mbunge wa Iringa Mjini, Mch. Peter Msigwa, ahusishwa na vurugu katika kampeni za udiwani Kata ya Nduli jioni hii.source mwananchi
=========
UPDATE
Hata jana Arusha tulisikia polisi wanamtafutia Mh Lema zwengwe ili wamkamate asiwepo uraiani siku ta kupiga kura Sombetini. Ila lolisi wanasahau kwamba Arusha kuna Lema zaidi ya 10000
Hivyo hata Lema akamatwe leo, hakuna wa kuiba kura Sombetini. Iko siku Ccm itajua kwamba kumbe inachwza na kivuli chake. Polisi mnatua aibu. Kama mnaipenda Ccm vaeni nguo za kijani kukiko kuihadaa dunia.
Muda mfupi uliopita mahakama ya Wilaya ya Iringa na ile ya Kahama , wametoa haki ya dhamana kwa wabunge wa Chadema waliokuwa wameshikiliwa kwa kesi za kubambikiwa na Polisi , hii ni baada ya kutimiza masharti ya dhamana yaliyokuwa yamewekwa na mahakama,
kwa upande wa Kahama , Jamhuri imeshindwa kuithibitishia mahakama kuwa majeruhi wana hali mbaya baada ya ripoti ya daktari kuonyesha wanaendelea vizuri na wengine waliruhusiwa kuondoka tangu jana ......
Msigwa ametimiza masharti ya dhamana, na yuko nje na sasa anaelekea Kata ya Nduli kuendeleza mapambano ya kampeni, Polisi wanaitafutia Chadema kura za huruma .....
Huyu Mchungaji inabidi sasa afungue kanisa huko jela, maana anakupenda sana.
Kama alivyosema MSALANI, hawa watu lazima kuna kitu wanachokifurahia huko, haiwezekani wawe wanapenda kwenda jela kila siku wakati wengine tunakuogopa...
Kwa takwimu zangu inaonyesha Msigwa anatumia muda mwingi kufanya vurugu kuliko kanisani
Huyu Mchungaji inabidi sasa afungue kanisa huko jela, maana anakupenda sana.
Kama alivyosema MSALANI, hawa watu lazima kuna kitu wanachokifurahia huko, haiwezekani wawe wanapenda kwenda jela kila siku wakati wengine tunakuogopa...
Kwa takwimu zangu inaonyesha Msigwa anatumia muda mwingi kufanya vurugu kuliko kanisani
Katika kupambana kwa ajili ya wanyonge kwenda jela ni kitu cha kawaida. Hata Desmond Tutu alishawekwa jela mara tatu wakati wa kupambana kutetea Waafrika kusini weusi waliokowa wakinyonywa na kunyanyaswa na Makaburu wachache hata Mchungaji anatetea walalahoi wa nchi hii ambao CCM haiwajali.Huyu Mchungaji inabidi sasa afungue kanisa huko jela, maana anakupenda sana.
Kama alivyosema MSALANI, hawa watu lazima kuna kitu wanachokifurahia huko, haiwezekani wawe wanapenda kwenda jela kila siku wakati wengine tunakuogopa...
Kwa takwimu zangu inaonyesha Msigwa anatumia muda mwingi kufanya vurugu kuliko kanisani
Chris LukosiHuyu Mchungaji inabidi sasa afungue kanisa huko jela, maana anakupenda sana.
Kama alivyosema MSALANI, hawa watu lazima kuna kitu wanachokifurahia huko, haiwezekani wawe wanapenda kwenda jela kila siku wakati wengine tunakuogopa...
Kwa takwimu zangu inaonyesha Msigwa anatumia muda mwingi kufanya vurugu kuliko kanisani
Chris mwanaume haogopi jela ukiona anaogopa juwa hana selebresheni sasa wewe mbona unaogopa ogopa shekhHuyu Mchungaji inabidi sasa afungue kanisa huko jela, maana anakupenda sana.
Kama alivyosema MSALANI, hawa watu lazima kuna kitu wanachokifurahia huko, haiwezekani wawe wanapenda kwenda jela kila siku wakati wengine tunakuogopa...
Kwa takwimu zangu inaonyesha Msigwa anatumia muda mwingi kufanya vurugu kuliko kanisani