Baitila Omungalo
Member
- Aug 11, 2013
- 68
- 6
Mbona walipojkuwa wanamlinda padri slaa hamkuwaita poliCCM huko Kigoma? Leo ndo wamekuwa wabaya? Acha ukinyonga wewe, tumia akili kabla ya kuandika, usikurupuke.hata mandela alifungwa na kupata mateso makali
hao poliCCM wanfanya kazi kama mbwa akiambiwa kimbia kule anakimbia bila kujiuliza ni kwa faida gani
maisha yao ni ya dhiki wanaishi vijumba vya mabati wanategemea rushwa ili wasonge mbele
nadhani pia elimu yo wengi ni form 4 failures na 6 na wale wa std 7 wa zamani
bado tuna safari ndefu