Nimeshuhudia mambo mengi katika misiba tofauti, lakini tukio hili nililoliona limevunja kabisa rekodi.
Mbwa aliruhusiwa kuisogelea maiti na akaanza kuinusa, kulikuwa na watu wachache na ni kabla maiti haijatolewa nje kwa watu wengi kwa ajili ya kuagwa na kisha kuanza safari ya mazishi.
Niliposhindwa kuelewa, niliwauliza waliokuwepo wakaniambia kuwa marehemu ndiye aliyekuwa akimlea huyo mbwa.
Je, nyinyi mnalichukuliaje jambo hili, wakuu?
Mbwa aliruhusiwa kuisogelea maiti na akaanza kuinusa, kulikuwa na watu wachache na ni kabla maiti haijatolewa nje kwa watu wengi kwa ajili ya kuagwa na kisha kuanza safari ya mazishi.
Niliposhindwa kuelewa, niliwauliza waliokuwepo wakaniambia kuwa marehemu ndiye aliyekuwa akimlea huyo mbwa.
Je, nyinyi mnalichukuliaje jambo hili, wakuu?