de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 880
- 1,835
Kuna ka ukweli ndani yake! Ila nahs sio sana ni jinsi manvyo ishi tu. Hata kama mnalingana kama mwanamke kakupanda kichwan jiandae na early grave.sio kweli wanaume wanakufa mapema kwa sababu ya kuoa watu walio chini ya umri wao mfano mwanaume amepishana na mkewe miaka 10, 15 unategemea nini hilo hawalitambua kama mi mwongo mwanaume aoe mtu alie lingana nae umri alafu majibu mtapata vizaz vya mababu zetu wengi walitangulia wake zao hata wewe fuatilia historia za babu zako utanipa jibu