Hapo shida ni posho wanakula peke yao siunajua wachaga kwa pesa.
suala si uchaga ukomboz wa Tanzania ni zaidi ya Uchaga. Kuwa na fikra za hvyo ktk Nchi ilopoteza Dira si sifa ni ujinga.
Hapo shida ni posho wanakula peke yao siunajua wachaga kwa pesa.
CHADEMA si kila siku mnawatukana watu wa Dar kuwa wanakula miguu na utumbo wa kuku?
Vijana wa BAVICHA mnafurahisha sana!.Huna haki ya kuniuliza chochote.
Uko kwenye Ignore list yangu siku nyingi wewe mpigapicha wa Nape
ni kweli dar wamezidiwa hata na kasulu....
hata wewe laki si pesa ni hao hao wala miguu ya kuku ushaona wapi kijana kama wewe unashabikia ccm??
ni kweli dar wamezidiwa hata na kasulu....
hata wewe laki si pesa ni hao hao wala miguu ya kuku ushaona wapi kijana kama wewe unashabikia ccm??
Vijana wa BAVICHA mnafurahisha sana!.
Unadai niko kwenye ignore list yako halafu unaweza kusoma comment yangu na kuijibu!.
You must walk the walk after talking the talk!
Nadhani hufahamu hata maana ya neno ignore!
Ignore
verb: ignore; 3rd person present: ignores; past tense: ignored; past participle: ignored; gerund or present participle: ignoring.
refuse to take notice of or acknowledge; disregard intentionally.
synonyms: disregard, take no notice of, pay no attention to, pay no heed to, pass over, shut one's eyes to, be oblivious to, turn a blind eye to, turn a deaf ear to, brush aside, shrug off, push aside, never mind; More
antonyms: pay attention to, acknowledge, obey
Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara
Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara
Hii operation ilitakiwa kufanyika wakati wa kujiandikisha, nusu ya wa kazi wa Dar hawajajiandikisha, na dalili zinaonyesha 80% ya ambao hawajajiandikisha siyo CCM. Safari bado ni ndefu labda kama tunaongelea kujaza watu kwenye mikutano
molemo ...pamoja na operation hiyo tupeni majibu ya kilichotokea same tumaini makene amekuja na jibu rahisi sana ....mimi sitegemei kwa mikoa ya arusha na kilimanjaro kama maccm yangepita bila kupingwa au form kukosewa kisa muhuri kwa chama makini kama chadema
Ndiyo maana nikasema vijana wa BAVICHA mnafurahisha kama siyo kusikitisha kwa sababu hamjitambui achilia mbali kuelewa mantiki ya kile unachokiandika.Mpigapicha wa Nape huwa unalipwa shilingi ngapi kupiga picha..?
Kazi nyingine jamani ni bora ukalima.Ni kujidhalilisha tu..
CHADEMA si kila siku mnawatukanab watu wa Dar kuwa wanakula miguu na utumbo wa kuku?
Ina maana Kinana anaponda Mtwara, Tanga, Mbeya na Iringa anakuwa hawaamini viongozi wa chama walioko huko.
Acha porojo ndugu..Kwa hiyo waliojiandikisha ni CCM tu?
Mimi kwenye mtaa wangu robo tatu ya waliojiandikisha ni Ukawa
CHADEMA si kila siku mnawatukana watu wa Dar kuwa wanakula miguu na utumbo wa kuku?
Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara