Mshikemshike Dar, Mbowe na Dr. Slaa walikamata Jiji

Mshikemshike Dar, Mbowe na Dr. Slaa walikamata Jiji

Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara

kauli yako inazidi kuthibitisha kuwa CCM si chama cha wanyonge tena. kwamba mwenyekiti wao JK akienda mitaani kuonana na wananchi eti ni kujidhalilisha.

sad.
 
Haya mambo ya vyama munayashabikia kama watu wa kijiweni kabisaaa!! Hivi kweli kwa umoja wenu hamfahamu kwa nini Msomali wa CCM, Kinana na Nape hawatulii nyumbani? M/kiti wa CCM anaeleweka hana lolote la kuwaambia wananchi. Mimi ningefurahi sana kama CCM ingekuwa na M/kiti mwenye uwezo wa kusema na kushiriki mijadala ya maana.

Siasa za nchi lazima ziwe live siyo kutafuta sifa za ving'ora bila hata la maana linalokumbukwa. Lazima wana CCM wote tukubali kwamba huyu tulikula hasara. Miaka 10 inapita bila hata hotuba ya kukumbukwa.

Ukawa ndiyo mpango mzima kwa sasa
 
kauli yako inazidi kuthibitisha kuwa CCM si chama cha wanyonge tena. kwamba mwenyekiti wao JK akienda mitaani kuonana na wananchi eti ni kujidhalilisha.

sad.

Wanapoandika hawashirikishi kabisa akili.

Ubongo wao ni kama wa kuku
 
mnakumbuka shuka alfajiri???
Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa wanaendelea na operesheni maalum ya kuimarisha chama jijini DSM

Akithibitisha habari hizi Msemaji mkuu wa Chadema Tumaini Makene amesema Operesheni Mshikemshike Mzizima leo itaendelea kama ifuatavyo;

Mwenyekiti atakuwa Kigamboni-Vijibweni. Kuanzia saa 8 mchana atakuwa na kikao cha briefing ofisi ya kata, atatembelea matawi na kuzindua ofisi kadhaa za misingi na matawi kisha atakwenda Kwenye mkutano wa had hara Mtaa wa Upendo.

Katibu Mkuu; kuanzia saa 8 atakuwa njia panda ya Mabibo Manzese ambapo atapiga mtaa kwa mtaa kufungua matawi kisha ataelekea eneo la mkutano, Mnazi Mmoja- Tip Top Manzese.

Hii ni operesheni maalum kwa Dar es Salaam iliyozinduliwa jana na Mkiti wa Taifa mitaa ya Kijitonyama. Itafanyika Kwa miezi 4. Itakuwa mtaa Kwa mtaa, kijiwe Kwa kijiwe na nyumba Kwa nyumba maeneo ya 'uswahilini'.
 
Hata huku mwanza,shy na mara hatutumii hayo makanyagio na utumbo!

Hata Bukoba na majirani wote kama Kigoma mjini,kibondo na Kasulu hawali hiyo kitu wanaachiwa Mbwa na paka
 
Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara

Wewe utakuwa na tatizo la bilhazia
 
Tunaomba waliohudhulia mikutano watupe kapicha
 
Kuwaamini muhimu ila viongozi wakuu kwenda mtaa kwa mtaa unaogopa nini we ni GAMBA TU.
 
Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara

nadhani ingekuwa jambo la busara ukakishauri kwanza chama chako kinachoelekea kufa kishughulikie mafisadi umwambie na Kinana aache kuua tembo wetu
 
Tetesi: kikundi maalum kimeandaliwa kwaajili ya kugawa VIROBA.
 
Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara

Duh!! kweli NYANI HAONI KUNDULE hivi kwa hiki ulichokiandika vipi kuhusu Kinana na Nape wanavyozurura kuzunguka nchi nzima vipi ndani ya CCM hakuna viongozi wa ngazi za chini wanaoweza kufanya kazi kama hizo?
 
Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara
Kuna umuhimu sana wa kuikomboa Dar kwanza , inaturudisha nyuma sana kwenye harakati za ukombozi na ni strategic area to successful.
 
Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara
tulia apo sindano iingie
 
Acha porojo ndugu..Kwa hiyo waliojiandikisha ni CCM tu?

Mimi kwenye mtaa wangu robo tatu ya waliojiandikisha ni Ukawa

Molemo acha ubishi, mwenyewe naikubali chadema na ukawa ila hili la serikali za mitaa mmechemsha maeneo mengi tu ikiwemo Dar.
Na wakazi wengi hawajajiandikisha , huku ccm ilikuwa imeshaanza kuandikisha wanachama wao kitambo sana.
 
Last edited by a moderator:
Kwataarifa yako Jiji la Dar linawakilisha makabila yote ya Tanzania... hao wakipata elimu wataeneza hadi kwenye vijiji visivyokuwa na barabara... Strategically, Viongozi wa CHADEMA wanatakiwa kupiga kambi Dar kwa mwaka mzima ili kuhakikisha kuwa CCM wanang'olewa hadi mizizi... Good news kuwa 3/4 ya wanachama wa Saigon wamejiunga CHADEMA.. .

Kwa hiyo mpaka mwezi wa tatu 2015, viongozi wakuu wa CHADEMA watakuwa bado wanafukuzana na mitaa ya Jiji la Dar katika taifa lenye mikoa 30!

Ingekuwa vizuri zaidi ukawafikishia ujumbe na kuwaambia viongozi wakuu wa CHADEMA wakapitia kwenye hii thread,

By the way, Ni maeneo yapi hayo ambayo viongozi wa CHADEMA wanadhani siyo ya ''uswahilini''?
 
Pichaaa tupeniii coz hataaa gazeti lenuu la udaku la Tanzania daima halijaandika hayo
 
Back
Top Bottom