MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Kila siku inazinduliwa operesheni mpya!
Pichaaa tupeniii coz hataaa gazeti lenuu la udaku la Tanzania daima halijaandika hayo
ama kweli hiyo siasa. pamoja na kuwaona watu wa ajabu lakini mbele ya kura mnaona bora muende hata kama mtakayokuwa mnawaeleza hao waswahili ni unafiki na mnajua fika kuwa ni unafiki. da!CHAMA CHA SIASA ni MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE , HATUHANGAIKI NA MAJUNGU .
halafu bila hata aibu wanataka tena kuja kwa waswahili ambao kila siku wako bize kuwatukana. huu ni ukweli usio na shaka kuwa kila watakachokuwa wanawaeleza ni unafiki tu ili wapate kura. hawana dhamira ya dhati toka moyoni hao.Chadema tukiwaona huku uswahilini tutawapopoa na mawe. Wanatukana sana watu wa uswahilini
sema tu wanataka wapate nafasi ya kwenda kuendeleza wizi waliouanza siku nyingi. period.kuwafanya waache kula miguu ya kuku
halafu bila hata aibu wanataka tena kuja kwa waswahili ambao kila siku wako bize kuwatukana. huu ni ukweli usio na shaka kuwa kila watakachokuwa wanawaeleza ni unafiki tu ili wapate kura. hawana dhamira ya dhati toka moyoni hao.
just a matter of time. we will see.Mtahangaika sana.Poleni