Mshikemshike Dar, Mbowe na Dr. Slaa walikamata Jiji

Mshikemshike Dar, Mbowe na Dr. Slaa walikamata Jiji

CCM inao makatibu wa wilaya inaowalipa mshahara kila mwezi, kuna gamba moja nalifahamu Ni katibu wa wilaya kila siku linaenda kuomba mafuta kwa DED. Hao makatibu wasipotimiza wajibu wanafukuzwa hivyo hawawezi kufanya makosa ya kitoto kama kutumia muhuli feki. CHADEMA imeshauriwa mara 300 kuweka structure imara ngazi ya wilaya kwa mtendaji wa mshahara hawakubali

Asiyesikia la Mkuu huvunjika guu, halafu wanalalamika kuwa wanaibiwa kura.
 
CHADEMA si kila siku mnawatukana watu wa Dar kuwa wanakula miguu na utumbo wa kuku?
kunakaukweli hapo. akina erythrocyte, mungi na jamii yao wako bize kila siku kuwatukana waswahili leo hii wameenda kufanya nini huko?
 
kunakaukweli hapo. akina erythrocyte, mungi na jamii yao wako bize kila siku kuwatukana waswahili leo hii wameenda kufanya nini huko?

Mtahangaika sana.Poleni
 
ni kweli dar wamezidiwa hata na kasulu....
hata wewe laki si pesa ni hao hao wala miguu ya kuku ushaona wapi kijana kama wewe unashabikia ccm??

..... Kasulu Hawali Utumbo Na Miguu Ya Kuku, Hivyo Hutupwa Tu, Kule Hakuna Njaa
 
Last edited by a moderator:
Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara

mbona chama chako kinafanya kwa utaratibu mzuri?(kwako). Unataka vyama vyote vifanye kazi zao kwa matakwa yako? Acha kuyahujuma mawazo yako, acha kutuonyesha kiwango cha ujinga unaokutawala::::;;;;;;;;;;;;
 
mbona chama chako kinafanya kwa utaratibu mzuri?(kwako). Unataka vyama vyote vifanye kazi zao kwa matakwa yako? Acha kuyahujuma mawazo yako, acha kutuonyesha kiwango cha ujinga unaokutawala::::;;;;;;;;;;;;

Nashukuru kwa kunisaidia kumpa somo mkuu
 
kunakaukweli hapo. akina erythrocyte, mungi na jamii yao wako bize kila siku kuwatukana waswahili leo hii wameenda kufanya nini huko?

Chadema tukiwaona huku uswahilini tutawapopoa na mawe. Wanatukana sana watu wa uswahilini
 
Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara

Kwani Dar sio mkoa?
 
kunakaukweli hapo. akina erythrocyte, mungi na jamii yao wako bize kila siku kuwatukana waswahili leo hii wameenda kufanya nini huko?

CHAMA CHA SIASA ni MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE , HATUHANGAIKI NA MAJUNGU .
 
Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara

Unamchagulia adui yako mahala pa kupiga na stile ya kutumia? Tulieni dawa iwaingie
 
Hii ni aibu Siku zote mnaishi hapa Dar hamjawahi kwenda hata msiba Leo ndio mjifanye mnajua vichochoro. Mtaula wa chuya.
 
Kazi hizo zilipaswa kufanywa na viongozi wao wa ngazi za chini. Ina maana hawaaminiani? Wao ni national figure. Ni kujidhalilisha kuoita vijiweni ilhali hata mikoa hawajamaliza kufanya ziara

Hapo shida ni posho wanakula peke yao siunajua wachaga kwa pesa.

Haya mambo ya vyama munayashabikia kama watu wa kijiweni kabisaaa!! Hivi kweli kwa umoja wenu hamfahamu kwa nini Msomali wa CCM, Kinana na Nape hawatulii nyumbani? M/kiti wa CCM anaeleweka hana lolote la kuwaambia wananchi. Mimi ningefurahi sana kama CCM ingekuwa na M/kiti mwenye uwezo wa kusema na kushiriki mijadala ya maana.

Siasa za nchi lazima ziwe live siyo kutafuta sifa za ving'ora bila hata la maana linalokumbukwa. Lazima wana CCM wote tukubali kwamba huyu tulikula hasara. Miaka 10 inapita bila hata hotuba ya kukumbukwa.
 
Back
Top Bottom