ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,045
- 49,728
Wanaweza Kuita majina kati ya haya
1. Coalition Against DP World Party of Tanzania
2. Hustlers Movement for Natural Resources
3. Vuguvugu la Maendelea na Mabadiliko Tanzania.
Mwenyekiti-Dr W. Slaa (Mihogo)
M/Mwenyekiti-Dr. Lugemeza Nshala (Wakili asiyepihishwa magoti)
Katibu Mkuu -Wakili Andindilile Mwabukusi (Huyu ameaga Kwa wazee)
N/Katibu Mkuu-Mdude Nyagali.(Jiwe alimshindwa, mlingiti chuma bendera chuma) 🔥🔥
Askofu Mwamakula-Mtunza Hazina na Kuhani Mkuu wa kutoa muongozo ya ulimwengu wa Roho.
Padre Kitime-Mshauri wa Mikakati ya Chama Kuchochea Udini Ili wapate wafuasi wa lile Dhehebu wanaojiita Kanisa la Mitume tajatifu.
My Take
Kama mdau wa hiki chama Chetu Pendwa unaweza ongeza Wanachama wengine.
1. Coalition Against DP World Party of Tanzania
2. Hustlers Movement for Natural Resources
3. Vuguvugu la Maendelea na Mabadiliko Tanzania.
Mwenyekiti-Dr W. Slaa (Mihogo)
M/Mwenyekiti-Dr. Lugemeza Nshala (Wakili asiyepihishwa magoti)
Katibu Mkuu -Wakili Andindilile Mwabukusi (Huyu ameaga Kwa wazee)
N/Katibu Mkuu-Mdude Nyagali.(Jiwe alimshindwa, mlingiti chuma bendera chuma) 🔥🔥
Askofu Mwamakula-Mtunza Hazina na Kuhani Mkuu wa kutoa muongozo ya ulimwengu wa Roho.
Padre Kitime-Mshauri wa Mikakati ya Chama Kuchochea Udini Ili wapate wafuasi wa lile Dhehebu wanaojiita Kanisa la Mitume tajatifu.
My Take
Kama mdau wa hiki chama Chetu Pendwa unaweza ongeza Wanachama wengine.
Ushauri: Dkt. Slaa, Advocate Mwambukusi, Kijana Mdude anzisheni chama kingine
Asalam, Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani. 1. Changamoto ya uandishi inatokana ulemavu wa mkono wangu wa kushoto ambao ndio naandikia. 2. Mahala ninapishi network yake iko...
www.jamiiforums.com