Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka 7.5 Million to 15 Million.
Asiyetaka anacha.
Shahidi mimi mwenyewe.
Daktari mwenye digrii = 900,000
Mbunge darasa la saba = 15,000,000
Tanzania nchi nzuri sana
today's top vapour written!Wanastahili, wanafanya kazi kubwa sana hawa wawakilishi wetu.
Bravo serikali kwa hilo. Angalau sasa wanakaribia kufanana wabunge wenzao wa EAC.
mkuu mi mkulima wa mchele Bajabiri na fanya mgomo wa kuzalisha mpaka gunia moja liwe laki 5 , sasa kama nyie walimu hamgomi ili mlipwe milion 7 shauri yune, mi nsha likisha kuwa na sisi wakulima tunataka gunia la mpunga liwe laki 5 , lazima tugawane umaskinisekta ipi????labda ya wauza matunda
Mnyika na Zitto tunaomba m-confirm hii habari? Au na nyinyi mmejiunga na manyang'au?!
nangoja watangaze ili na mimi nianze mgomo
bado watakuuliza evidence....Kutoka 7.5 Million to 15 Million.
Asiyetaka anacha.
Shahidi mimi mwenyewe.
Wanastahili, wanafanya kazi kubwa sana hawa wawakilishi wetu.
Bravo serikali kwa hilo. Angalau sasa wanakaribia kufanana wabunge wenzao wa EAC.
Wanastahili, wanafanya kazi kubwa sana hawa wawakilishi wetu.
Bravo serikali kwa hilo. Angalau sasa wanakaribia kufanana wabunge wenzao wa EAC.
mi ningependekeza kufanyike standardization ya mishahara ndani ya serikali na idara zake kwa kutumia kigezo cha elimu hii iwe pamoja na bunge.Kutoka 7.5 Million to 15 Million.
Asiyetaka anacha.
Shahidi mimi mwenyewe.
Mshahara wa wabunge umepanda kutoka Tsh 6,000,000/- kwa mwezi mpaka Tsh 10,000,000/- kwa mwezi mbali na marupurupu mengine!..
Hii inakuja ikiwa wadaktari tayari wameshatangaza mgogoro na serikali na kuipa wiki 2 kutimiza madai yao la sivyo watatangaza mgomo mkubwa nchi nzima kuanzia 23/6/2012...
acha ujuha wewe...hiyo kauli ya hatuwezi kutatua matatizo ni kauli ya albert einstein siyo ya huyo mchungaji wako
Source: Mtanzania ya leo
"Hatuwezi kutatua matatizo kwa akili ile ile ambayo ilisababisha yawepo"..Mch. Peter Msigwa
Wakati huo Mwalimu analipwa 150000 kwa kuambiwa ualimu ni wito? Hawa wabunge wana akili gani jamani?