Hizo watoto wao wanazojengea mijumba zinatoka wapi, mismanagement of govnt funds, wizi ufisadi na ubadhilifu!!!!Madaktari musilegeze kamba kumbe pesa zipo ndugu zangu
yaani tena ukiwaangalia wanavyolumbana kwenye bunge kama watoto wa darasa la saba kwanza walitakiwa wapunguziwe mishahara hao
Kama ni keli basi CCM ni sikio la kufa ...................!!!
Kutoka 7.5 Million to 15 Million.
Asiyetaka anacha.
Shahidi mimi mwenyewe.
taratibu comrade usije zimalizia hizo hasira kwenye daladala.Teh teh tehnahisi natetemeka kwa hasira..ngoja nikagombanie dala dala kwanza.
Kutoka 7.5 Million to 15 Million.
Asiyetaka anacha.
Shahidi mimi mwenyewe.
taratibu comrade usije zimalizia hizo hasira kwenye daladala.Teh teh teh
Daktari mwenye digrii = 900,000
Mbunge darasa la saba = 15,000,000
Tanzania nchi nzuri sana
nangoja watangaze ili na mimi nianze mgomo
Daktari mwenye digrii = 900,000
Mbunge darasa la saba = 15,000,000
Tanzania nchi nzuri sana