ina maana hata dr slaa ataongezewa mshahara ili ufanane na wa wabunge?
the unseen is illustrated by the seen.
c c m oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
kidumu chama cha mapinduzi
GOOD Nyie wabunge tukamueni mpaka tuende __ja kubwa ya damu. Sisi ni mazuzu.Mshahara wa wabunge umepanda kutoka Tsh 6,000,000/- kwa mwezi mpaka Tsh 10,000,000/- kwa mwezi mbali na marupurupu mengine!..Hii inakuja ikiwa wadaktari tayari wameshatangaza mgogoro na serikali na kuipa wiki 2 kutimiza madai yao la sivyo watatangaza mgomo mkubwa nchi nzima kuanzia 23/6/2012...
Source: Mtanzania ya leo
"Hatuwezi kutatua matatizo kwa akili ile ile ambayo ilisababisha yawepo"..Mch. Peter Msigwa
GOOD Nyie wabunge tukamueni mpaka tuende __ja kubwa ya damu. Sisi ni mazuzu.
Tuliyataka wenyewe it HELL!! wabunge tupeni changamoto ya movement for change.
Dr wa Ukweli aliwahi kuhoji wakamshambulia wote hata wa upinzania. Tuende wapi ee mola!!
Mkuu nadhani hli neno jekundu spelling sahihi ni "kigumu"
c c m oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
kidumu chama cha mapinduzi
Wanastahili, wanafanya kazi kubwa sana hawa wawakilishi wetu.
Bravi serikali kwa hilo. Angalau sasa wanakaribia kufanana wabunge wenzao wa EAC.