Mshahara wa September vipi watumishi?

Mshahara wa September vipi watumishi?

Na ile 2% ya punguzo la kodi hope inaanza mwezi huu
 
Acha kutumia laini ya Vodacom ndio wanakata pesa.
Voda hopeless kabisa. Mi nilipoteza simu, kwenda kuomba line mpya, wananiambia niandike barua na kubandika picha yangu nikieleza kwa nini sijapiga simu kwa siku kadhaa kupitia voda. Nikasepa zangu. Sitaki kabisa ujinga huo.
 
Voda hopeless kabisa. Mi nilipoteza simu, kwenda kuomba line mpya, wananiambia niandike barua na kubandika picha yangu nikieleza kwa nini sijapiga simu kwa siku kadhaa kupitia voda. Nikasepa zangu. Sitaki kabisa ujinga huo.
Wanaamini wewe ni 'Punje ya vumbi ktk mchanga wa bahari'
 
Hawa jamaa sina hamu nao kabisa,natafuta upenyo tu

Mpwa usisande maana kwa shuruba ulizopitia bado unawadai nyingi wewe komaa kuna siku watajipindua hapo ndio unalipa kisasi kama wanakuibia maslahi yako na wewe tafuta cha kuwaibia hata muda tu unatosha hakuna huruma dunia hii maana damu yetu haina vinasaba vya Yesu.
 
Back
Top Bottom