Mshahara wa September vipi watumishi?

Mshahara wa September vipi watumishi?

Mh! si mwezi Septemba bado haujaisha sasa utapewa vipi mshahara?! subiri hadi mwisho wa mwezi
 
Mimi ni rais wa masikini na cyo rais wa wafanyakazi na matajiri upo hapo?
 
Na nyinyi mjiajili msitefemee mshahara wa mwisho wa mwezi kama mnavyotuambia sisi tujiajili ilihali nyinyi wenyewe mmeajiliwa jamani tuwache unafiki
 
hahahahhaha kama kawaida yetu wazee wa RAT RACE(readers will understand this)
 
Na nyinyi mjiajili msitefemee mshahara wa mwisho wa mwezi kama mnavyotuambia sisi tujiajili ilihali nyinyi wenyewe mmeajiliwa jamani tuwache unafiki
mkuu umenena..kumbe na wenyewe wanalialia kusubiri mshahara wa mwisho wamwezi..kwanini wasiende kujiajiri...
 
Labda serikalini ,huku private tumeshakula nusu ya mshahara toka jana.
 
mkuu umenena..kumbe na wenyewe wanalialia kusubiri mshahara wa mwisho wamwezi..kwanini wasiende kujiajiri...
Hawa jamaa wanafiki sana mkuu wanatetea jambo ambalo wao hawalifanyi wanazani wao wameajiliwa ndio wamefika kimaisha hebu waangalie Zimbabwe lidandancy ilivyowakumba watumishi wa umma.
 
Mkuu kuwa mvumilivu yalisikika hayo maneno kuwa sept itakua neema kwenu, we subiri kama kweli bado kama siku chache, niliwahi kumsikia mtumishi mmoja wa uha..... anasema Sept 2016 ataenda ATM na rambo kubwa INAWEZEKANA IKAWA KWELI WE SUBIRI KAKA
 
Back
Top Bottom