Snowpiercer
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 2,384
- 4,355
Basi kama mwisho wa mwezi teyari na hujaingiziwa pole sana, kuna mawili; wewe ni mtumishi hewa ama mhanga wa vyeti feki. Believe me.Tayari mzeee
Basi kama mwisho wa mwezi teyari na hujaingiziwa pole sana, kuna mawili; wewe ni mtumishi hewa ama mhanga wa vyeti feki. Believe me.Tayari mzeee
Dah ila hawa jamaa wanakera sana, utasikia ninashida.... Nisaidie 50000 khaaaWale wa kikosi cha mizinga sijui wanapata wapi taarifa. Ukianza kuona vi message vyao, mara salamu, mara upo? na vitu vya namna hiyo, ujue tayari wahi tu kwenye ATM.
Unalima sawa na unayeenda kumuuzia hana pesa kwamfano dumila wamezalisha nyanya hata pakuuzia hakunaMaana yangu ni hii tukitegemea nyongeza ya mshahara hatutafanya kazi maana haipo, saivi wafanyakazi tufikiri namna ya kujiongezea kipato kama unaeneo la kulima lima, kama unaweza kufunga funga,
Kweli mshahara umetoka jmn wngn hl mbovumshahara tayari na ongezeko lipo jamani ccm oyeee
Angalia tenakumbe bado niliangalia vibaya
Kwa payroll ilikuja tyr hakuna mabadiliko, hivyo endeleeni kuvumiliaHaha Mi nakwambia we utaskia matamko yao mwisho wa mwez ukifika..
Serikali haiko serious na WATUMISHI..
kuhusu Increments na madai yatabaki kuwa Kama porojo tuu.
Wenye mamlaka wakiulizwa maswali BUNGENI wanatoa Majib ambayo hayafanan na swali lililoulizwa..
Ila Ngoja tuone mana walisema mwez September ndo utakuwa mwaka wa fedha unaanza Yaan 2016/2017 so Mtumish kuwa na Imani
![]()