kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,182
bado mybe Kesho wangeweka leo daah kesho Imooo Tanga.
Duh kweli namba inasomwa, mbona aliahidi kuwa baada ya miez 2 nyongeza na ajira mpya zitaendelea kama kawaida?Hiyo haina uhakika maana rais wetu anacheza na maisha ya watumishi wa Umma
Kingine usichojua unafahamu waraka mpya wa watumishi wa Umma mda wa kutoka kazini sasa kazi gani umpatie mwingine kama siyo kutia hasara mapema, propose mfano wa plan B nyingineMaana yangu ni hii tukitegemea nyongeza ya mshahara hatutafanya kazi maana haipo, saivi wafanyakazi tufikiri namna ya kujiongezea kipato kama unaeneo la kulima lima, kama unaweza kufunga funga,
Oprass ni usanii na kikwazo kitakatifu kinachotumika kama silaha ya maafisa utumishi kuwakomoa wasiowapenda na kuwatunuku wawapenda😵le wa wale tusio na makabila makubwa na kwa vile ukabila ni kigezo muhimu kupanda mshaharaAmbaye hajaandika OPRASS hakuna nyongeza

Basi sawa acha niendelee KupombekaHakuna mabadiliko yoyote mpaka mda huu

Mnaraha wapi huko mnalipwa tarehe 22? Wengine hadi tarehe 35Ukitoka tushtuane wadau maana ndio tarehe zenyewe hizi
Kina nani?Bado nimepita benki sijaona foleni hakuna hata mtu.Ukitoka huwa wanajaaaa sana
Unamaaanisha?Bado hujaacha kukojoa ovyo
Serious mzigo tayariKuwa serious bana
Wana jamvi tupeane taarifa ndg zangu