wazee wa dili...mapema mzigo umeisha....hahaaaa natania tuUkitoka tushtuane wadau maana ndio tarehe zenyewe hizi
ufanye kazi ipi huku hela zinafichwa majumbani????Hakuna kitu ukitaka nyongeza fanya kazi kwa bidii
Jibu zuri sana hili. Tatizo la waajiriwa wengi bongo huwa hawana Plan B ya maisha. Yeye nikuwazia tu mshaharaHakuna kitu ukitaka nyongeza fanya kazi kwa bidii
Tumia akili yako vizuri kutengeneza vyanzo mbadala. Acheni kuishi na kuwazia mishahara tu.Wana jamvi tupeane taarifa ndg zangu
Jibu zuri sana hili. Tatizo la waajiriwa wengi bongo huwa hawana Plan B ya maisha. Yeye nikuwazia tu mshahara
Acha kutumia laini ya Vodacom ndio wanakata pesa.
Kwenye u-serious mtu analeta utani!Ajabu gani?