Mshahara wa September vipi watumishi?

Mshahara wa September vipi watumishi?

Mkuu kuwa mvumilivu yalisikika hayo maneno kuwa sept itakua neema kwenu, we subiri kama kweli bado kama siku chache, niliwahi kumsikia mtumishi mmoja wa uha..... anasema Sept 2016 ataenda ATM na rambo kubwa INAWEZEKANA IKAWA KWELI WE SUBIRI KAKA
Daah ....bas itakua kazi. Salary ya mwezi wa 9 inavosubiriwa kwa hamu duuuh. Jaman hamna hata wifi ama shemeji wa kairuki humu ndani amuulize basi kwamba namna gan vipi
 
Fanya kazi wew ndo kwanza leo tar23 ushaanza kuwaza mshahara
 
hahahahhaha kama kawaida yetu wazee wa RAT RACE(readers will understand this)
That is why we hear so often: "I need a raise." "If only I had a promotion." "I am going to go back to school to get more training so I can get a better job." "I am going to work overtime." "Maybe I can get a second job." "I'm quitting in two weeks. I found a job that pays more."
 
Mbona mimi sijaona huo mshahara wa September
 
jaman muwe serious wengine itatulazim kuchoma naul kwenda kuuchukua...km bado itakua hasara takatifu
 
Back
Top Bottom