chendelela
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 1,145
- 1,012
Nashangaa wengine bado cjui tatizo nn
tayari bana weewe utakuwa mtumishi hewa. bado barua tu kukufikiaMie bado wengine ni wazushii
Hongera mkuu kumbe tayarinenda upole kabisa mambo yapo tayari mi ndio natokea hapo sasa hivi napata supu ndie nirejee job
Wana jamvi tupeane taarifa ndg zangu
mkuu tayari..sio utani
Nimepita ATM nimekuta foleni kubwa. Nahis tayarMnaolalamika mnadhani mshahara mnaingiziwa wote kwa wakati mmoja subirini mpaka jioni kila mtu atakuwa ameshawekewa
Tayari mkuuuNimepita ATM nimekuta foleni kubwa. Nahis tayar
Kada gani hiyoWameongeza 20% tu
ongezeko lipo?mkuu tayari..sio utani
Nyongeza vepeeeTayari mkuuu
sema kweli?Wameongeza 20% tu
Unadhani hata nimekwenda kuna jmaa mmoja hapa niko naye yeye ni Assistant medical officer anasema hakuna nyongeza sina uhakikaNyongeza vepeee
ZoteKada gani hiyo
Haya mkuu kila la kheri katika nyongeza uliyopewaZote
Hajui kama anaongea na babake mkubwaMwongo hawajaongeza chochote ndugu zangu sijui Huyu magu anatukukuliaje hivi hii nchi anadhania ni ya kwake