msanifuwaukweli
Member
- Jul 22, 2019
- 99
- 66
acha wivu mkuu,tuambie wewe wako sh ngapiMshahahara wanaolingia ni huu wa take home laki mbili baada ya kukatwa madeni au mwengine?
acha wivu mkuu,tuambie wewe wako sh ngapiMshahahara wanaolingia ni huu wa take home laki mbili baada ya kukatwa madeni au mwengine?
Nmechek sa nane nikakuta empty.sijui wameanza kuingiza kwa mafungu.Apa nataka sa 12 nikachek nipitie na baa nishtue tu lite kidogoMshahara umetoka tayari nmb , NBC confirmed
Ata mm ngoma nane ilikuw 0-0Oyaaa mnawekeana kwa ukabila nini, kwangu mbona bilabila?
vp muda huuAta mm ngoma nane ilikuw 0-0
Kiongozi bado bank ipi hiyo?tusubirini nasisi acheni ubinafsi
Ushapata?Uziiiiiii kwishineiiiiii namalizia kutupia udongo WA mwisho kwaherini jamani
nawasaidia kujibu waliopata, mi sina cha kupata apoUshapata?
Kwahiyo ulikuwa unawasindikiza tu wasubiri mishaharanawasaidia kujibu waliopata, mi sina cha kupata apo
Upo kada ipi mkuuNimefurahi baada ya miaka mitatu ya bila bila, hatimaye nimepata nyongeza ya mwaka pamoja na barua ya kupanda cheo. Lakini mjue Mungu anawaona.
hahah jioni tunaanzisha Uzi mpya WA nini kinaendelea baada ya salio kusoma, wengine utasikia nipo baa flani kuna totoz kinoma,
ha ha ha vyeti vyenu vitakuwa sio orijino au shule mlizo soma hazitambuliki;njooni huku tulime viazi.
ha ha ha usinisahau katika ufalme wakoAisee subiri kesho mapicha picha
Jaman mmeshachukua pesaa au niendelee kusubiri
Hongera sana mkuu...na pole kwa kusubiri.Nimefurahi baada ya miaka mitatu ya bila bila, hatimaye nimepata nyongeza ya mwaka pamoja na barua ya kupanda cheo. Lakini mjue Mungu anawaona.
Hahahaha eti ITMITM ndo wapi ?