Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
Uzi huu utakuwepo hadi Stone atoke madarakaniHuu uzi Tarehe hizi unafufuka na kufa siku si nyingi
Uzi huu utakuwepo hadi Stone atoke madarakaniHuu uzi Tarehe hizi unafufuka na kufa siku si nyingi
Mi hata sijui mzeeHivi vipi mzee, Tayari kitu ama? Hahhah
Muongo YuleAlisema anawapa tarehe 19 kila mwezi kwani bado?????
TayariHivi vipi mzee, Tayari kitu ama? Hahhah
Wacha wwTayari
Uongo bhanaWacha ww
Pole mkuu.Mtu mzima unatakiwa kuwa unaongea kitu chenye uhakika.
fanya business mzee baba.... siku hizi ugoro unalipa kinyamaMwezi uliopita (June) 2019 salary imetoka tarehe 19.Kesho ni mwisho wa mwezi tujongee ATM mapema.
Kitu jumanne next week.Jaman badooo tu
Kitu jumanne next week.
Kwani hamna simbanking?
Ndo ujiunge sasaHatuna