Namba yako please
Chelewa chelewa sasa nilewe.
Mbona toka tarehe 19
Mara paap mshahara umetoka. Uzi paap ynazimika ghafla hadi uzi mwingine mwezi ujao
Ukiona hujapata mshahara mpaka muda huu...jua wewe tayari ni hewa
Haya haya
Haya haya
ha ha ha vyeti vyenu vitakuwa sio orijino au shule mlizo soma hazitambuliki;njooni huku tulime viazi.Hahahhaahahaha
Subirini tushughulikie clip KWANZA mshahara badaeMara paap mshahara umetoka. Uzi paap ynazimika ghafla hadi uzi mwingine mwezi ujao
Wataka wakahonge huko kwa michepuko maana imewakaba hatari,Watu mna moyo. Huu wakati wa kuwa karibu na mwenza kufukuza hii baridi eti bado mnaongelea mshahara.




Wataka wakahonge huko kwa michepuko maana imewakaba hatari,![]()






Hahahaha ndo madanga yanasubiria mishahara tuyatapeli.
Nmb Oyeeee
lete namba nikutupie ka serengeti lite 15Nitumie hata elf 5 tu nijipoze roho na serenget litee
😇😇😇😇😇Nmb Oyeeee