Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

Kama hauhusiki kaa mbali kwenye uzi huu.
Maana wengine utawaona wanaleta shobo mbinuko humu.
Kudai au kuulizia salary si umaskini bali ni kujitambua, na haina maana kuwa watumishi ni maskini.
 
Back
Top Bottom