Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

Tayari niko baa, wamenifungia kwenye stoo fulani hivi ili viongozi wa serikali wasinione, nasubiria saa kumi ndio nitoke nikae kwenye hewa angalau!!!!
UNaalika na kicheche kimoja matata, unapiga bia huku unachezea twita
 
Kiongozi mkuu ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe John Joseph Pombe Magufuli aliyeingia madarakani mwaka 2015 akimshinda mpinzani wake Ndg Edward Lowasa kwa 58% ya kura zote halali zilizopigwa mwaka huo.
na ndie kiongozi mkuu tena 2020 na 2025 na 2013
 
Kiongozi mkuu ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe John Joseph Pombe Magufuli aliyeingia madarakani mwaka 2015 akimshinda mpinzani wake Ndg Edward Lowasa kwa 58% ya kura zote halali zilizopigwa mwaka huo.
serikali mbili kiongozi mmoja si ndio???
 
Back
Top Bottom