Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,968
- 46,622
Si vyema sana ku upload screenshot ambayo imechukua hadi namba za watu hasa nyakati kama hizi za ****
ungeweza ku crop....
Si vyema sana ku upload screenshot ambayo imechukua hadi namba za watu hasa nyakati kama hizi za ****
Sasa nani atapeleka huko mahakama kuu hata mahakama za kawaida kama hatutaishia kulalamika tu na ubumbuwazi wetu vichwaniLabda Mahakama kuu itoe tafsiri kama ikiwezekana kwamba mtu aliyekopa kwa makubaliano ya riba asimila kadhaa, je sheria inaruhusu nyongeza ya riba katika kipindi cha LOAN REPAYMENT,yaani katikati ya muda ambao mkopaji analipa, sheria inaruhusu bila ya terms na conditions?
Ulikopa mkuu ,dawa ya deni ni kulipa mkuu.......bora sisi boom.lilikiwa 3000 nmemaliza mkuu hahahaha ngoma inogileUtumishi waumma umekua zigo la misumari...Magu analazimisha tu..nchi imemshinda..
Uncle M auMimi ndiye Mkuu.kulikoni kwani?
Ooh hapana Mkuu ila Mimi mfuas wake mtiifu na ninàmpenda sanaUncle M au
OK, sote tunampenda ila yeye ni kama hawapendi vibarua wake.Ooh hapana Mkuu ila Mimi mfuas wake mtiifu na ninàmpenda sana
Si vyema sana ku upload screenshot ambayo imechukua hadi namba za watu hasa nyakati kama hizi za ****
ungeweza ku crop....
Walio tajirika hawakusoma hivyo vitabu.
Kweli mkuu umenena jambo. Huwa nashangaa sana machinga wanaouza vitabu vyenye kichwa JINSI YA KUWA TAJIRI KWA SIKU KUMI NA NNE. Ukiwaangalia wao hali zao ni bora ya jana, huwa najiuliza kwani hawasomi hivyo vitabu? DaaaaaahWalio tajirika hawakusoma hivyo vitabu.
Yani hapo unamfanya aliye andika hicho kitabu awe tajiri kwa sababu umetoa pesa yako mfukoni na kumchangia huku yeye akikuacha na bla blaa kibao kichwani
Ni zamu ya bodi ya mkopo kuandana ili walipwe.Lipeni pesa za bodi kipindi mnaandama na kugoma kudai mikopo mlijua ni bure tena lipeni kama vipi acheni kazi kukopa harusi kulipa matanga leo hii povu linawatoka ilitakiwa hata kulipa muandamane na kugoma kama mlivyofanya huko nyuma
Kama mkataba umekiukwa si muiburuze serikali mahakamani? sasa mnavyolialia nyuma ya keyboard hapa ndo mtapata haki yenu?Nani aliyekwambia kwamba hatulipi? Au ndo kupenda kushabikia usivyovijua? Tulipokea kwa mkopo na hatuna budi kurudisha kwa taratibu tulizokubaliana, maana ya mkataba ni Maridhiano baina ya mkopa na mkopeshaji...!! Watu wanacholalamikia hapa ni kukiukwa kwa miataba ambao umetuelekeza kulipa 8% na sio maamuzi ya Magu na wenzie ya 15% huu ni ukiukwaji wa mkataba na ni kinyume cha sheria,sema ni vile tu wafanyakazi wa Tanzania vyama vya wafanyakazi vinafanya kazi ya kukilinda chama cha serikali na watu wake hii 15% ingelikua Kenya kungenuka

Duuuuuuh yaani mkuu umeuliza swali gumu sanahivi kwenye makato hamna watumishi hewa kama ilivyo kwenye increament na stahiki zingine?
Tuache Uzuzu!