Wangeongeza PAYE maana nia Yao Ni kutukomoa.
Hujui kuwa vyama vya wafanyakazi ni matawi ya CCM?Mbona watumishi wengi kuanzia 2015- kwenda chini Mkataba wao na Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ulikuwa ni Kukatwa 8% Sasa hiyo 15% inatoka wapi ni Mkataba Mpya au vipi tena.
Serikali lazima itambue Watumishi wengi
wanamikopo kwenye Taasisi mbalimbali za Kifedha hivyo kupandisha makato kutafanya Watumishi kuishi chini ya Theluthi 1/3 ya mishahara yao hivyo kupunguza tija kazini.
Kwanini hiyo 15% isitumike kwa Waajiriwa wapya kama huko Vyuoni walisaini Mikataba ya 15%.
Vyama vya Wafanyakazi simameni Imara katika hili siyo kukusanya michango mnayokula bila kazi ya maana, nanyi ni majipu tu hamna msaada wowote kwa watumishi. Mishahara haipandi mpo kimya, makato yanaongezeka mpo kimya, sasa mna faida gani kwa Watumishi wa Umma bora mvunje hivyo Vyama ambavyo ni chaka la kumuibia Mtumishi wa Umma.
Ushamba ni mzigo mkubwa sana mkuu...
- Nchi ya kipuuuzi inakaliwa na wapuuziii na kuongozwa na wapuuuuzi.usiniulize nchi gani
- Nchi dhaifu huwa na watu dhaifu na uongozi dhaifu.usiniulize nchi gani.
- Hata ushamba nao ni kokoro
Now i believe he is fake, always fake things attracts you but at the end you suffer the consequenceFake mnoo huyoo jamaa ila hamtaki kulitambuwa hiloo watanzania...
Absolutely positive...Now i believe he is fake, always fake things attracts you but at the end you suffer the consequence
And this makes you not to buy fake again
wana kura lukuki za foolish majority na bado wanawatengeneza wengine kwenye vijiwe vya ile elimu bure.Jamani 2020 ni mwaka wa kuhakikisha hii haipo tena maana imekua too much!!!
Kila kukicha inakuja style mpya ya kuchukua hela za wananchi na kupeleka central government wakati huo huo nchi haioneshi kufanya progress yoyote zaidi ya wananchi kulia na ugumu wa maisha ambao nao unaongezeka kwa kasi kila kukicha!!!
I think the time for changes is there, it was just delayed
Yani mtu akitumiaga hili neno nacheka sana kwi kwi kwi kwi kwi kwiMwafaaa
Mkuu waliipenda wenyeweLowassa alisema atafuta madeni yote ya bodi uya mikopo mkamkatalia sasa mnalia nini