Mshahara wa Februari

Mshahara wa Februari

Lipeni mikopo na wadogo zetu na wenyewe wapate mikopo wakati
mnacheleweshewa mikopo kipindi kile mlikuwa mnagoma na kuandamana mkiisakama bodi iwawahishie mikopo leo hii mnalalamika nini? Dawa ya deni kulipa lipeni mikopo kulalamika haisaidii vifisadi nyie vya reja reja kodi zetu tuwakopeshe hamtaki kulipa lipeni pesa za watu
 
Lipeni mikopo na wadogo zetu na wenyewe wapate mikopo wakati
mnacheleweshewa mikopo kipindi kile mlikuwa mnagoma na kuandamana mkiisakama bodi iwawahishie mikopo leo hii mnalalamika nini? Dawa ya deni kulipa lipeni mikopo kulalamika haisaidii vifisadi nyie vya reja reja kodi zetu tuwakopeshe hamtaki kulipa lipeni pesa za watu
Nani aliyekwambia kwamba hatulipi? Au ndo kupenda kushabikia usivyovijua? Tulipokea kwa mkopo na hatuna budi kurudisha kwa taratibu tulizokubaliana, maana ya mkataba ni Maridhiano baina ya mkopa na mkopeshaji...!! Watu wanacholalamikia hapa ni kukiukwa kwa miataba ambao umetuelekeza kulipa 8% na sio maamuzi ya Magu na wenzie ya 15% huu ni ukiukwaji wa mkataba na ni kinyume cha sheria,sema ni vile tu wafanyakazi wa Tanzania vyama vya wafanyakazi vinafanya kazi ya kukilinda chama cha serikali na watu wake hii 15% ingelikua Kenya kungenuka
 
Lipeni mikopo na wadogo zetu na wenyewe wapate mikopo wakati
mnacheleweshewa mikopo kipindi kile mlikuwa mnagoma na kuandamana mkiisakama bodi iwawahishie mikopo leo hii mnalalamika nini? Dawa ya deni kulipa lipeni mikopo kulalamika haisaidii vifisadi nyie vya reja reja kodi zetu tuwakopeshe hamtaki kulipa lipeni pesa za watu
Mjinga mmoja we , huna uhakika na unalosema.
Hivi kama wewe umeenda Bank kukopa Milioni 3 mkakubaliana kwa mkataba halali baada ya miaka miwili utalipa milioni 4 , marejesho pamoja na riba ni Laki na nusu kwa mfano. Baada ya miezi sita au Mwaka ukakuta tangazo Bank WENYE MIKOPO WOTE KUANZIA LEO MAREJESHO YATAKUWA 350,000/= kwa Mwezi utafurahia ili wenzako wakope eti ?
Jiheshimu basi ndugu usifanye zihaka Msibani kwani hujui kilio kinachofata ni kwa nani.
 
Hivi inawezekana kuishitaki bodi kama una ule mkataba wa makubaliano wa 8%?

Masada wa kisheria tafadhali.
 
Back
Top Bottom