A
Anonymous
Guest
Tumeajiriwa toka Januari 2026 wenzetu wachache wamepata mshahara wa Januari na Februari wengine malipo yetu bila ya sababu za msingi hatujapata chochote hadi sasa hivi.
Wengine wetu walijitolea kufanya kazi toka muda huo hadi sasa lakini mazingira yamekuwa magumu.
Halmashauri hakuna jibu la kueleweka, tukaambiwa tusubiri fedha za kujikimu, nazo hadi sasa ni kuzungushwa
Walioajiriwa mwaka 2025 Februari hadi sasa wengi wao wamepewa fedha za kujikimu nusu, nusu iliyobakia haijulikani kama watapata au la.
Wengine wetu walijitolea kufanya kazi toka muda huo hadi sasa lakini mazingira yamekuwa magumu.
Halmashauri hakuna jibu la kueleweka, tukaambiwa tusubiri fedha za kujikimu, nazo hadi sasa ni kuzungushwa
Walioajiriwa mwaka 2025 Februari hadi sasa wengi wao wamepewa fedha za kujikimu nusu, nusu iliyobakia haijulikani kama watapata au la.