Nyie mmepata mshahara wa mwezi huu wa saba?

Nyie mmepata mshahara wa mwezi huu wa saba?

Mkuu unafanya kazi wapi huko na sisi tuje? Tarehe hizi unaulizia mshahara, huku sekta binafsi mpaka tarehe nane. Kama boss hayupo mtaambiwa msubiri mpaka harudi ili asaini cheki.
 
Back
Top Bottom