Mshahara ushatoka uko mitano tena

Mshahara ushatoka uko mitano tena

Hata kufanya biashara ninutimwa kwa mteja na serikali.
Mimi nalipa kodi nyie waajiriwa mnalipa nini zaidi ya kukatwa makato yasiyo na kichwa wala miguu.
NInyi watu wa biashara ndio mko bize na wivu kwa hivyo vilaki.

Huwezi kuona Mwajiriwa anasema vibaya, ila vibuyu kama nyie ambao tuvibanda twa tigo pesa, mna chuki nzitoooo kama paka shume
Waajiriwa ndyo kila siku wanatusumbua kwa mikopo ambayo hawajui wakikopa watailipa vipi, tupo nao mtaani na tunaona wanavyo taabika
 
Akaibe? Awe fisadi?
Kila mmoja anakula kulingana na urefu wa kamba take.
Unalipwa laki saba au milioni unachekelea na kusema mitano tena wakati mwenzako anatemvelea V8 na Kila kitu anakipata bure lakini wewe na milioni Moja Yako hata uiunganishe miaka 30 huwezi kununua v8.mabadiliko yanaanza na wewe mtumishi kujitambua
 
Mimi nalipa kodi nyie waajiriwa mnalipa nini zaidi ya kukatwa makato yasiyo na kichwa wala miguu.
Mimi nalipa kodi ya zaidi ya milioni 5 kwa mwaka, kutoka kwenye kipatao kinacjotokana na nguvu, ujuzi na kazi yangu. Au unafikiri napewa pesa kama.msaada.

Wewe unalipa kiasi gani??
Waajiriwa ndyo kila siku wanatusumbua kwa mikopo ambayo hawajui wakikopa watailipa vipi, tupo nao mtaani na tunaona wanavyo taabika
Komaa na hao wanaokusumbua kwasababu ni wapumbavu na hawajieleiwi.

Ila kama ni malipo ya pesa za kisheria za kodi na tozo, hiyo ni kama kifo haikwepeki duniani kote
 

Attachments

  • Screenshot_20250303_122031_CamScanner.jpg
    Screenshot_20250303_122031_CamScanner.jpg
    81.7 KB · Views: 13
Mimi nalipa kodi ya zaidi ya milioni 5 kwa mwaka, kutoka kwenye kipatao kinacjotokana na nguvu, ujuzi na kazi yangu. Au unafikiri napewa pesa kama.msaada.

Wewe unalipa kiasi gani??
Hiyo 5m kwa mwaka umeandika tu hapa na haijulikani ni kweli au uongo, mimi nalipa zaidi ya hiyo ndani ya mwaka, japo wakati mwingine tunamalizana juu kwa juu na maofisa wa kule kodi zinapokwenda.
Komaa na hao wanaokusumbua kwasababu ni wapumbavu na hawajieleiwi.
Hakuna anaye nisumbua ila wengine unawasaidia tu kwasababu ni watu wa karibu na tayari wana mizigo ya madeni kuko kwenye mabenki yao.
Ila kama ni malipo ya pesa za kisheria za kodi na tozo, hiyo ni kama kifo haikwepeki duniani kote
Kweli malipo ya kisheria lazima yalipwe lakini waajiriwa wanakatwa pesa nyingi sana, mfano hiyo slip uliyoweka hapo inajieleza ni namna gani waajiriwa wanateseka.
 
Hiyo 5m kwa mwaka umeandika tu hapa na haijulikani ni kweli au uongo, mimi nalipa zaidi ya hiyo ndani ya mwaka, japo wakati mwingine tunamalizana juu kwa juu na maofisa wa kule kodi zinapokwenda.

Hakuna anaye nisumbua ila wengine unawasaidia tu kwasababu ni watu wa karibu na tayari wana mizigo ya madeni kuko kwenye mabenki yao.

Kweli malipo ya kisheria lazima yalipwe lakini waajiriwa wanakatwa pesa nyingi sana, mfano hiyo slip uliyoweka hapo inajieleza ni namna gani waajiriwa wanateseka.
Nyie na hizi convo zenu ndo mnatufanya Sisi wengine tujione bure kabisa dooooh!
 
Bora hata hiyo riziki yako isiyo na masimango siku ukichoka unalala hakuna wa kukupigia kelele….!!
Hao hiyo mishahara yenyewe ukitoa makato ni huzuni tupu 😹😹😹

Mshahara gani haukai hata week 2 🤣
Hahahha noma
 
Hiyo 5m kwa mwaka umeandika tu hapa na haijulikani ni kweli au uongo, mimi nalipa zaidi ya hiyo ndani ya mwaka, japo wakati mwingine tunamalizana juu kwa juu na maofisa wa kule kodi zinapokwenda.
Wewe jamaa ni kibuyu. Nmekuwekea payslip, kodi 450,000 kwa mwezi bado huoni.
Hakuna anaye nisumbua ila wengine unawasaidia tu kwasababu ni watu wa karibu na tayari wana mizigo ya madeni kuko kwenye mabenki yao.

Kweli malipo ya kisheria lazima yalipwe lakini waajiriwa wanakatwa pesa nyingi sana, mfano hiyo slip uliyoweka hapo inajieleza ni namna gani waajiriwa wanateseka.
Kama ni watu wako wa karibu na bado wanakuomba msaada kibuyu kama wewe basi ni wapuuzi, loosers
 
Mimi nalipa kodi ya zaidi ya milioni 5 kwa mwaka, kutoka kwenye kipatao kinacjotokana na nguvu, ujuzi na kazi yangu. Au unafikiri napewa pesa kama.msaada.

Wewe unalipa kiasi gani??

Komaa na hao wanaokusumbua kwasababu ni wapumbavu na hawajieleiwi.

Ila kama ni malipo ya pesa za kisheria za kodi na tozo, hiyo ni kama kifo haikwepeki duniani kote
Hongera mkuu🤣🤣🤣
 
Wewe jamaa ni kibuyu. Nmekuwekea payslip, kodi 450,000 kwa mwezi bado huoni.
Kumbe hiyo ni slip yako? Aisee pole sana we jamaa, sasa umeona kwamba huo ni utumwa, yani unastahili kupokea 2m+ lakini unaambulia 1m.

Kumbe muda wote unajigamba humu kumbe mshahara wako ni 1m? Huna jeuri ya kubishana na mimi tena kwa hiyo pesa ndogo unayopata kwa mwezi mzima.
Kama ni watu wako wa karibu na bado wanakuomba msaada kibuyu kama wewe basi ni wapuuzi, loosers
Looser ni wewe unayekatwa milioni nzima inayo tokana na jasho na muda wako kwa mwezi mzima.
 
Back
Top Bottom