Mshahara ushatoka uko mitano tena

Mshahara ushatoka uko mitano tena

Mimi nalipa kodi ya zaidi ya milioni 5 kwa mwaka, kutoka kwenye kipatao kinacjotokana na nguvu, ujuzi na kazi yangu. Au unafikiri napewa pesa kama.msaada.

Wewe unalipa kiasi gani??

Komaa na hao wanaokusumbua kwasababu ni wapumbavu na hawajieleiwi.

Ila kama ni malipo ya pesa za kisheria za kodi na tozo, hiyo ni kama kifo haikwepeki duniani kote
Inatia hasira hii kitu
 
Back
Top Bottom