Suchack
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,410
- 4,841
wanajeshi mnashida sanaMama kashacheka uko angalia NMB 😂
wanajeshi mnashida sanaMama kashacheka uko angalia NMB 😂
Waajiliwa ni mzigo wa taifaMimi nalipa kodi nyie waajiriwa mnalipa nini zaidi ya kukatwa makato yasiyo na kichwa wala miguu.
Waajiriwa ndyo kila siku wanatusumbua kwa mikopo ambayo hawajui wakikopa watailipa vipi, tupo nao mtaani na tunaona wanavyo taabika
Inapokuja swala la kuajiriwa na kujiajiri, kila mtu ana mtazamo wake kutokana na mfumo wake ( kwako hasara kwangu faida, kwangu hasara kwako faida)Hiyo 5m kwa mwaka umeandika tu hapa na haijulikani ni kweli au uongo, mimi nalipa zaidi ya hiyo ndani ya mwaka, japo wakati mwingine tunamalizana juu kwa juu na maofisa wa kule kodi zinapokwenda.
Hakuna anaye nisumbua ila wengine unawasaidia tu kwasababu ni watu wa karibu na tayari wana mizigo ya madeni kuko kwenye mabenki yao.
Kweli malipo ya kisheria lazima yalipwe lakini waajiriwa wanakatwa pesa nyingi sana, mfano hiyo slip uliyoweka hapo inajieleza ni namna gani waajiriwa wanateseka.
tutachelewa sana kupata reforms nchi hii wasomi wengi sijui sisiemu imewafunga bongo zao na ule moshi wa mwengeMnashangilia kama mazuzu, huo mshahara umepewq bure bila kufanya kazi? Eti "mama kashacheka" akili kama hizi huwezi kuona unastahili unachopata kwa jasho lako ila utaona kama unapewa fadhila !
Kuna mkopo wa bank hapo. Makato yasingefika 1m.Kumbe hiyo ni slip yako? Aisee pole sana we jamaa, sasa umeona kwamba huo ni utumwa, yani unastahili kupokea 2m+ lakini unaambulia 1m.
Kumbe muda wote unajigamba humu kumbe mshahara wako ni 1m? Huna jeuri ya kubishana na mimi tena kwa hiyo pesa ndogo unayopata kwa mwezi mzima.
Looser ni wewe unayekatwa milioni nzima inayo tokana na jasho na muda wako kwa mwezi mzima.
Ndyo yaleyale kusema kwamba waajiriwa wanamalizwa na madeni, usikute hiyo pesa alikopa akaenda kununua gari au kujenga huko kisemvule au kibaha.Kuna mkopo wa bank hapo. Makato yasingefika 1m.
Kuwa fair Mzee, maisha hayapo hivyoWaajiliwa ni mzigo wa taifa
Hapo baada ya siku 2 wameishiwa
Kweli kabisa, lakini ukweli lazima usemwe. Wapo waajiriwa wamejiongeza na kuanzisha vyanzo vingine vya mapato nje ya kazi zao.Inapokuja swala la kuajiriwa na kujiajiri, kila mtu ana mtazamo wake kutokana na mfumo wake ( kwako hasara kwangu faida, kwangu hasara kwako faida)
Pia tunategemeana baina ya waliojiajiri na walioajiriwa ( huenda wateja wako wakawa hao hao walioajiriwa)
Cha msingi kila mtu amuheshimu mwenzake na tukitaka kuelimishana au Kuhabarishana kuhusu hilo basi tutumie usulubu mzuri
NAMBA KUWASILISHA
Yes wengi tunajenga kwa mikopo maana kulimbikiza ni mtihani!Ndyo yaleyale kusema kwamba waajiriwa wanamalizwa na madeni, usikute hiyo pesa alikopa akaenda kununua gari au kujenga huko kisemvule au kibaha.
Mbona unafikiri negative tu?Ndyo yaleyale kusema kwamba waajiriwa wanamalizwa na madeni, usikute hiyo pesa alikopa akaenda kununua gari au kujenga huko kisemvule au kibaha.
Exactly, tusibezane sasaKweli kabisa, lakini ukweli lazima usemwe. Wapo waajiriwa wamejiongeza na kuanzisha vyanzo vingine vya mapato nje ya kazi zao.
At the end nyie ndo mnaibuka washindi,hawa wangoje wakishastaafu utawaonea hurumaBora yenu nyie mna mama sisi wengine riziki ya mbwa ipo miguuni petu
Mimi pia nilianza maisha kwa kuajiriwa na najua taabu za kuajiriwa sio kama nafikiri negative.Mbona unafikiri negative tu?
Enjoy kazi yako wacha waenjoy kazi zao
Na si tufarijianeni kwa maneno hayo bwasheeAt the end nyie ndo mnaibuka washindi,hawa wangoje wakishastaafu utawaonea huruma
Ni kweli lakini atleast ujenge sehemu ambayo haitakupa gharama kubwa kuifikia, na ujue mshahara utakatwa so ujipange kukabiliana na hilo.Yes wengi tunajenga kwa mikopo maana kulimbikiza ni mtihani!
Safi kabisa.Kumbe hiyo ni slip yako? Aisee pole sana we jamaa, sasa umeona kwamba huo ni utumwa, yani unastahili kupokea 2m+ lakini unaambulia 1m.
Kumbe muda wote unajigamba humu kumbe mshahara wako ni 1m? Huna jeuri ya kubishana na mimi tena kwa hiyo pesa ndogo unayopata kwa mwezi mzima.
Looser ni wewe unayekatwa milioni nzima inayo tokana na jasho na muda wako kwa mwezi mzima.
Hakuna kitu nitaweka hapa kuhusu mimi na biashara zangu.Safi kabisa.
Huo ni utumwa.
Sasa na wewe weka kodi unayolipa na pesa kubwa kuliko hiyo