baunsamuoga
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 1,072
- 1,081
Boss kasafiri na madaraka yake!
Sawa mfamasia 😀 😀 😀 😀
Mleta mada nimewaambia homu wamwage maharage yote nakuja .Mpaka dk hii bila bila.Au nipitie cabbage?!
Kibuyu ndizi.Mwenye chuki ni wewe na makasiriko yako ya madeni yanayo kukabili.
Mimi sio boya niweke mambo yangu hapa bila sababu za msingi.
Kiazi.
Uzee haupo mbaliView attachment 3307236
Bora aisee ngoja nika-withdraw baadae niwatafute realMamy na Mallerina ili niwavute katika 3some
😹😹😹😹😹Upigwe na radi wwView attachment 3307236
Bora aisee ngoja nika-withdraw baadae niwatafute realMamy na Mallerina ili niwavute katika 3some
Kut*mbeaPesa wanapeleka wap
Keeeh keeeh jaman yani wanalipwa poshohalafu hawataki reforms shingo ngumu kutwa nzima kazi kufuatilia nyendo za chadema,sasa wakifika kwa familia zao wanalia maisha magumu
LifeBora yenu nyie mna mama sisi wengine riziki ya mbwa ipo miguuni petu
Sure broLife
Jmosi vp wkt payroll hazijasainiwa maofisini?Ngoma kuanzia J4 kwenda juuNi amsha amsha tu! Ila kitu juma mosi uhakika
Uzi wa mishahara ya watumishi wa serikalini tajiri umefuata nini tena?Mwenye chuki ni wewe na makasiriko yako ya madeni yanayo kukabili.
Mimi sio boya niweke mambo yangu hapa bila sababu za msingi.
Kiazi.
Kwani kama sio mtumishi huruhusiwi kuchangia mada?Uzi wa mishahara ya watumishi wa serikalini tajiri umefuata nini tena?
Nawashwa na pesa zangu, kwani wewe unawashwa na kinyeo au?Raia wengine huwa mnawashwa ajabu.
Nakisia tu mkuu!Jmosi vp wkt payroll hazijasainiwa maofisini?Ngoma kuanzia J4 kwenda juu
Tajiri pesa zako utakuwa unapata kwa kugawa donati.Kwani kama sio mtumishi huruhusiwi kuchangia mada?
Nawashwa na pesa zangu, kwani wewe unawashwa na kinyeo au?
Kwanza wapi nilisema mimi ni tajiri au naingiza shingapi? Mbona unashoboka sana au unapenda kugawa kinyeo kwa matajiri?Tajiri pesa zako utakuwa unapata kwa kugawa donati.
Unashoboka na uzi wa watumishi wa nini sasa?
Kama umasikini umekushinda usilete makasiriko kwa wengine, osha kinyeo ukalale kesho uende ukatafute basha mwingine akukune.Nyinyi ndio vijana mnaoishi kwa kutegemea kutembeza nyara.
Hakuna tajiri punga jamaa.
Janja acha kuinama mbele ya wanaume utakuja ingizwa nyama ngumu ya kwenye donati.Kwanza wapi nilisema mimi ni tajiri au naingiza shingapi? Mbona unashoboka sana au unapenda kugawa kinyeo kwa matajiri?
Kama umasikini umekushinda usilete makasiriko kwa wengine, osha kinyeo ukalale kesho uende ukatafute basha mwingine akukune.
Kilichokushobokesha na kuita watu watumwa ni nini?Watumwa meno yote nje, sisi wengine kilasiku tunajilipa sio mpaka tusubiri rehema za mwajiri.
HahahaJanja acha kuinama mbele ya wanaume utakuja ingizwa nyama ngumu ya kwenye donati.
Kilichokushobokesha na kuita watu watumwa ni nini?
Nyinyi ndio washamba mkifika mjini mnaishiwa kuwa magasho kama uzi haukusu pita matako pembeni, acha wanaume wajadili mambo yao. Kuita watu watumwa na kujiona una pesa sana ni uchoko janja.