Depends… kwetu ni lazima iwe from CRDB or Equity.Hapana,mshahara unaweza pitishia Bank yoyote unayopendezwa nao.ni wewe tu kuwapa HR namba ya account ya Bank
Inavyosemekana.. kesho tu hapoKwahyo watu wa Serikali kuu, wataanza kupiga maji mapema tu hii weekend au sio.?
Dawa ya deni kulipa.Naona na ww photo Lab imekufikia
Pambana kutafta income ingine usahau unaowadai
Wa kuandika hizo emoji umeupataje?kmmmk aisee
Sawa fogo,wafanyabiashara oyeeeeeee.Sina kitu inaitwa mshahara 😂 siijui yan
Ndio maana hujawahi niona nauliza kama umeingia ama umetoka.
Why always nyie ndo mnauliza? Mkitulia tu kimya mshahara hauingii?
Motivesheni spika.Mshahara! Ukiona fikra, mawazo, akili zinawaza Mshahara tayari umishafell na umasikini umeshakupiga ngwara!
😂😂 jobless nashangaa tuSawa fogo,wafanyabiashara oyeeeeeee.
Mshahara ni kwa ajili ya kujazia friji nyumbaniMshahara! Ukiona fikra, mawazo, akili zinawaza Mshahara tayari umishafell na umasikini umeshakupiga ngwara!
NMB sijui ila inasemekana ipoHii Iko CRDB tu.. NMB ipo pia..?
Watu wa jf wajifunze kutumia sim banking, kuliko kila mwisho wa mwezi unaulizia.Naona watu wanampopoa mtoa mada lakini naomba tujue tu hiyo ni haki yake ndiyo kidogo chake kwahiyo tumpe ushirikiano katika hili.
Ushauri mzuri huu, nafikiri ataufanyia kaziWatu wa jf wajifunze kutumia sim banking, kuliko kila mwisho wa mwezi unaulizia.
Acheck balance kutumia simu yake.