πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππEty wakuu mnaotumia CRDB.. vipi mshahara wa mwezi September.. ushatoka...?
Ndugu yangu, fanya ubadili huu mfumo wako wa maisha. Leo ndiyo kwanza ni tarehe 21! Unaulizia mshahara? Hivi hata kazi utakuwa unafanya kwa ufanisi kweli?Ety wakuu mnaotumia CRDB.. vipi mshahara wa mwezi September.. ushatoka...?
wengine tunatumia Bank uchwara, unakuta wenzio washajaza Grocery wanatwanga maji we ndio kwanza hata meseji hujapataKuna mtu namdai.. muwekewe huo mshahara anilipe.
Ila nyie watumishi wa Halmashauri mnazingua ππ
Kwani we mshahara ukiingia hupati sms? Kila mwezi lazima atokee wa kuuliza? Suburini Mpwayungu aje kuwapopoa
Kwahiyo unawaza bia tu hapo, huo mshahara unatoboa nao trh 12 next month kweli?Mkuu
wengine tunatumia Bank uchwara, unakuta wenzio washajaza Grocery wanatwanga maji we ndio kwanza hata meseji hujapata
Teyar mambo byeeeeeeEty wakuu mnaotumia CRDB.. vipi mshahara wa mwezi September.. ushatoka...?
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ety wakuu mnaotumia CRDB.. vipi mshahara wa mwezi September.. ushatoka...?
Nyie Watumishi wa UN mshahara umeshasoma?Kuna mtu namdai.. muwekewe huo mshahara anilipe.
Ila nyie watumishi wa Halmashauri mnazingua ππ
Kwani we mshahara ukiingia hupati sms? Kila mwezi lazima atokee wa kuuliza? Subirini Mpwayungu aje kuwapopoa
Subirini j3 hukoKwahiyo kesho Mama wetu kipenzi hawezi kucheka..?