Mshahara mwezi September

Mshahara mwezi September

Nyie Watumishi wa UN mshahara umeshasoma?
Sina kitu inaitwa mshahara 😂 siijui yan
Ndio maana hujawahi niona nauliza kama umeingia ama umetoka.

Why always nyie ndo mnauliza? Mkitulia tu kimya mshahara hauingii?
 
Mkuu
Kuna mtu namdai.. muwekewe huo mshahara anilipe.

Ila nyie watumishi wa Halmashauri mnazingua 😂😂
Kwani we mshahara ukiingia hupati sms? Kila mwezi lazima atokee wa kuuliza? Suburini Mpwayungu aje kuwapopoa
wengine tunatumia Bank uchwara, unakuta wenzio washajaza Grocery wanatwanga maji we ndio kwanza hata meseji hujapata
 
Mkuu
wengine tunatumia Bank uchwara, unakuta wenzio washajaza Grocery wanatwanga maji we ndio kwanza hata meseji hujapata
Bank uchwara ni gani? Watumishi si tuna NMB na CRDB tu?
 
Inategemea na Taasisi.. wanaojielewa na wanaolipa kwa fungu la ndani kesho watu wanacheka.. mapema tu.
 
Kuna mtu namdai.. muwekewe huo mshahara anilipe.

Ila nyie watumishi wa Halmashauri mnazingua 😂😂
Kwani we mshahara ukiingia hupati sms? Kila mwezi lazima atokee wa kuuliza? Subirini Mpwayungu aje kuwapopoa
Mie nipo Tayari kukulipa hata kama hunidai
 
Ndugu yangu, fanya ubadili huu mfumo wako wa maisha. Leo ndiyo kwanza ni tarehe 21! Unaulizia mshahara? Hivi hata kazi utakuwa unafanya kwa ufanisi kweli?

Vipi ikatokea wakatoa huo mshahara tarehe 25! Si utadhalilika mtaaani!!
Usiwaze Mkuu, Wala hadhaliliki mtu
 
Naona watu wanampopoa mtoa mada lakini naomba tujue tu hiyo ni haki yake ndiyo kidogo chake kwahiyo tumpe ushirikiano katika hili.
Habari yako Afisa kilimo, vp huko nyie Serikali kuu mambo hayajasoma..?
 
Mkuu subiria kesho usiku! Hata kama huna hela kausubirie baa ambayo unaweza kunywa Kwa bili! Hua unaingia tarehe 22 kuanzia saa moja usiku mpaka saa tano!
 
Kuna mtu namdai.. muwekewe huo mshahara anilipe.

Ila nyie watumishi wa Halmashauri mnazingua
Kwani we mshahara ukiingia hupati sms? Kila mwezi lazima atokee wa kuuliza? Subirini Mpwayungu aje kuwapopoa
Naona na ww photo Lab imekufikia

Pambana kutafta income ingine usahau unaowadai
 
Back
Top Bottom