Papillon 1906
Senior Member
- Jun 19, 2025
- 188
- 653
Kuna wenzako wanapewa mara moja kwa mwezi kama wanapokea mshahara.
Inasikitisha Sana ,sasa unampa mme mara moja halafu unaenda kumpa mchepuko daily.
Inasikitisha Sana ,sasa unampa mme mara moja halafu unaenda kumpa mchepuko daily.
Swali sahihi ni, "unampa mumeo mara ngapi kwa siku?".Kuna ulazima wa kuoa wake wengi kwa hali hii sasa
Ur not agree thsThats crazy and u expect ur hubby not to cheat when he has urges too lol!
Mwanamke akishajua bila yeye hupati sex, hakuna rangi utaacha kuiona
Hao wachaggaThats crazy and u expect ur hubby not to cheat when he has urges too lol!
Kosa lolote halikupi uhalali wa kucheat ,usaliti hausababishwi na makosa bali mtu huchagua kucheat ili akapate rahaThats crazy and u expect ur hubby not to cheat when he has urges too lol!
Huyo mwanaume labda fala, unapewaje mara moja kwa mwezi wakati mademu wamejaa kila mtaa?
Unapewa mara moja kwasababu hamjiongezi style ya mahaba ni moja hiyo hiyo ya dogie, halafu unapewa kimoja chali hamna stamina,mnawahi kumaliza unamuacha mkeo na hamu