Damn Fool.Kwa hiyo kwa kuwa Jerry alikosea hata Manara akikosea naye sawa,sasa hizo akili au matope.
Wewe ndiye HOPELESS unayehalalisha kosa la Manara,kisa Jerry Muro alikosea NONSENSE.
Hivi nikuulize Jerry Muro alishawahi kumuattack mwandishi yoyote kwa vitu ambavyo ni personal?.
Hao Manchester,Liverpool,Real Madrid,Ac Milan vilabu vikubwa duniani,wandishi wanaandika sana tetesi kuzihusu hizo club lkn husikii maafisa wao wa habari kuwaattack waandishi kwa vitu personal,mwisho wa siku akitukanwa naye atadai "mnanionea sababu mimi mlemavu",unaanzisha ugomvi wa mawe wakati wewe mwenyewe unaishi nyumba ya vioo.
Atofautishe tu kati ya tofauti ya ushabiki na uweledi,kama nao wandishi wakireact kama afanyavyo yy,atakaye umia ni yeye.
Yeye mtu mgani kishagombana na Shaffih Dauda,Efm na leo hii Maulid wa Kitenge wa Wasafi kwa mambo ambayo haya make sense.Mbona akina Masao Bwire,Kifaru pamoja na kuongea kwao ila huwasikii kuwa attack waandishi kwa vitu personal.
Imeisha hiyooooohNajua Boss wao Namba Tatu ( KMK ) atawapatanisha tu kwa niaba ya Mtu anayewapenda Wote ( JPM ) Ndugu. Manara anakubalika nae katika Michezo ( hasa ndani ya Klabu ya Simba SC anayoishabikia ) na Dkt. Abbas anakubalika nae ndani ya Serikali yake anayoiongoza akiwa kama Rais wa JMT.
Mbona hata Wewe hapo Ofisini Kwako ndiyo Kinara wa Kujikomba ( Kujipendekeza ) kwa Boss zako huku ukiwa ndiyo mpiga Majungu Mwandamizi, Mfitini hadi Unawaroga Wenzako ili upendwe Wewe na Mabosi? Nahisi ulitamani kweli kweli uwe Mwanamke ili usiishie tu Kujipendekeza Kwao bali Uwapanulie kabisa ili usikilizwe Wewe.Mtu unajiita bughatt halafu kazi yako ni kujipendekeza kwa matajiri?
Tunaongoza Kundi letu huko CAF CL kwa Alama ( Points ) Saba ( 7 ) mbele ya Klabu Kubwa, Bora na Tajiri ya Al Ahly na Klabu Shindani hasa ya AS Vita Club huku Nyumbani Tanzania tukicheza Viporo vyetu Vinne ( 4 ) tu pia naongoza Ligi Kuu ( VPL ) kwa tofauti ya Alama ( Points ) Saba ( 7 ) mbele ya Timua Timua Makocha Benchi la Ufundi Mabondia FC ( Yanga SC )
Kama una Swali lingine niulize upesi tu.
khaaaaah lolInsha ndefu lakini umeisoma yote tu Pumbavu.
Ila ningeandika maneno mengi ( marefu ) jinsi Unavyokanyagwa njia ya Buza kwa Mpalange Kwako yasingekukera?Maneno mengi kweli yanakera kuyasoma
Wengi ni wajawazito wa mimba changa
Ndiyo Mada iliyoko Mezani Kujadiliwa?Mkuu, samahani, hivi yule GENTA ni ndugu yako? Mnafanana kweli UANDISHI!
Ila akina Bumbuli na Nugaz wao hawatakiwi Kujirekebisha, wana Staha, hawana pia Mihemko na wapo huru Kumchafua Haji Manara na Klabu ya Simba SC watakavyo? Mnafiki mkubwa Wewe!!Manara hana budi kujirekebisha, hana staha na ana mihemko kiasi kikubwa
Kwani mkuu hujui kama huyu pia ni katibu mkuu habari utamaduni na michezoHuyo msemaji wa serikali mipaka yake ni ipi , mbna kila sehemu anashadadia , mbna kila tukio la burudan yumo , Hana mambo mengine ya kufanya? ..... Mahindi yamezuiwa huko si akawasemee wanyonge ?? Mara utasikia wasanii waache Kiki, mara waache kucopy vionjo vya nyimbo za zaman..... Masuala ya michezo yumo , Okey fine ..kibaya Zaid anaropoka tuu bila kuainisha Sheria inasemaje , Bali anawakilisha maoni ya watu ya vijiweni yaliyomfikia , bila kujua kwamba kauli yake inabeba mambo mengi ikiwemo Sheria inayohusu Jambo husika , Bali yeye anaropoka tuuu Jambo ambalo hata lipo free kisheria ....Aaah huyu jamaa ni Msemaji wa serikali wa hovyo kuwahi kutokea.....
Atii?Mkuu, samahani, hivi yule GENTA ni ndugu yako? Mnafanana kweli UANDISHI!
Nonsense hili ndio tatizo la mpira kuujulia ukubwani,mihemko na shobo kama mwanamke malaya.Damn Fool.
He is above Manara's paygrade, hivyo Manara kamwe hawezi mjibuHuyu nae akae kimya tyuuh, manara atamlipua soon lol,
Ooooooh kumbe bas sawaaaah.He is above Manara's paygrade, hivyo Manara kamwe hawezi mjibu
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Mpumbavu ni nani?!!mimi au wewe usiyejua hata dr.Abas kwenye wizara ya habari ni nani?!!nimeisoma yote ili kutafuta ni kweli hujui ana cheo gani kingine?!!sio daaa, huruma!!siku zote mtu akishindwa kwenye hoja hukimbilia matusi!!Insha ndefu lakini umeisoma yote tu Pumbavu.
Mkuu, mimi ni shabiki wa huyo ndugu. Huwa, ninafurahia sana kusoma nahau, methali na maneno mengi ambayo huwa ni mapya kwangu, pamoja na VICHAMBO vya kutosha! Yaani, huwa napenda style ya uandishi wake. Ni wa ki pekee! Sasa, nikaona mnafanana kuandika. Sijajua, ni nani kati ya wewe na yeye (Genta) anayemuiga mwenzie uandishi!Ndiyo Mada iliyoko Mezani Kujadiliwa?
So does it justify for him to be biased and hater?Kwani mkuu hujui kama huyu pia ni katibu mkuu habari utamaduni na michezo
Uncircumcised Baboon like you can't waste my time.Nonsense hili ndio tatizo la mpira kuujulia ukubwani,mihemko na shobo kama mwanamke malaya.