Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,152
- 159,076
Sasa gubu la nini?Tunaongoza Kundi letu huko CAF CL kwa Alama ( Points ) Saba ( 7 ) mbele ya Klabu Kubwa, Bora na Tajiri ya Al Ahly na Klabu Shindani hasa ya AS Vita Club huku Nyumbani Tanzania tukicheza Viporo vyetu Vinne ( 4 ) tu pia naongoza Ligi Kuu ( VPL ) kwa tofauti ya Alama ( Points ) Saba ( 7 ) mbele ya Timua Timua Makocha Benchi la Ufundi Mabondia FC ( Yanga SC )
Kama una Swali lingine niulize upesi tu.